Tukienda mbele tukirudi nyuma, Iphone(ios) mfumo wao waliusuka ukasukika!

Tukienda mbele tukirudi nyuma, Iphone(ios) mfumo wao waliusuka ukasukika!

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
15,849
Reaction score
36,141
Wakuu nimekuwa mtumiaji wa hii mifumo miwili inayobeba devices nyingi duniani kwa maana ya Ios na Android kwa muda mrefu sasa!

Nilichokuja kugundua hawa jamaa wa ios walitumia akili nyingi sana na ndo maana mpaka leo wameendelea kuwa relevant! Ukija upande wa pili yaani Android ni kwamba wamekuwa hawana jipya kabisa, mbaya zaidi huo mfumo ulivyoachwa kuwa open source mpaka "shit phones" nazo zimedandia humo humo!

Kifupi advantage ninayoiona kwenye android ni uwezekano wa kutumia mod apk(ambalo sio jambo la kujivunia). Ila kwa kifupi official apk za ios ni way better kuliko android, android zimejaa takataka za kila namna.

NB: Nina device zote mbili za ios na android ambazo ni high end, kwahiyo najua ninachokisema!
 
Mie sijakuelewa. Naomba somo hapa kama hutojari. In captain tesha voice
 
Wakuu nimekuwa mtumiaji wa hii mifumo miwili inayobeba devices nyingi duniani kwa maana ya Ios na Android kwa muda mrefu sasa!

Nilichokuja kugundua hawa jamaa wa ios walitumia akili nyingi sana na ndo maana mpaka leo wameendelea kuwa relevant! Ukija upande wa pili yaani Android ni kwamba wamekuwa hawana jipya kabisa, mbaya zaidi huo mfumo ulivyoachwa kuwa open source mpaka "shit phones" nazo zimedandia humo humo!

Kifupi advantage ninayoiona kwenye android ni uwezekano wa kutumia mod apk(ambalo sio jambo la kujivunia). Ila kwa kifupi official apk za ios ni way better kuliko android, android zimejaa takataka za kila namna.

NB: Nina device zote mbili za ios na android ambazo ni high end, kwahiyo najua ninachokisema!
Tuna hasara kubwa kama taifa vijana kama ninyi.
.ungesema Ios inakuruhusu kuingia JF na Android zimegoma ungeonekana wa maana.
 
Zamani, Apple waliweka Touch ID, Face ID, Retina display. Lakini sasa, wanaonekana wanakimbiza. Mambo kama foldable phones, under display cameras, na fast charging yameanza na Android. iOS 18 inaongeza AI features (kama Apple Intelligence), lakini bado wako nyuma kidogo.

Mkuu iko IOS 26 kwa sasa!
 
Tuna hasara kubwa kama taifa vijana kama ninyi.
.ungesema Ios inakuruhusu kuingia JF na Android zimegoma ungeonekana wa maana.
Umeandika kama zee lijinga fulani hivi lililokuzwa enzi za simu ya mdomo na halitaki kubadilika limeachwa na teknolojia.
 
Ila wameweza kuteka headlines. Kila sehemu ni iphone 17. Mitandaoni ni iphone 17 tu,bila shaka ndio simu maarufu zaidi kwa sasa.
 
Wakuu nimekuwa mtumiaji wa hii mifumo miwili inayobeba devices nyingi duniani kwa maana ya Ios na Android kwa muda mrefu sasa!

Nilichokuja kugundua hawa jamaa wa ios walitumia akili nyingi sana na ndo maana mpaka leo wameendelea kuwa relevant! Ukija upande wa pili yaani Android ni kwamba wamekuwa hawana jipya kabisa, mbaya zaidi huo mfumo ulivyoachwa kuwa open source mpaka "shit phones" nazo zimedandia humo humo!

Kifupi advantage ninayoiona kwenye android ni uwezekano wa kutumia mod apk(ambalo sio jambo la kujivunia). Ila kwa kifupi official apk za ios ni way better kuliko android, android zimejaa takataka za kila namna.

NB: Nina device zote mbili za ios na android ambazo ni high end, kwahiyo najua ninachokisema!
Ukiongelea Android na iOS there's nothing like "iOS ni nzuri zaidi, natumia zote mbili so najua ninachosema"
Nah.... Kila mtu ana mtazamo wake kwenye hili suala.
Kuna watu wametumia zote na wanapenda zaidi Android, tena hawa ndio wengi zaidi. Huwezi kutumia experience yako tu na kutengeneza General Conclusion
 
Wakuu nimekuwa mtumiaji wa hii mifumo miwili inayobeba devices nyingi duniani kwa maana ya Ios na Android kwa muda mrefu sasa!

Nilichokuja kugundua hawa jamaa wa ios walitumia akili nyingi sana na ndo maana mpaka leo wameendelea kuwa relevant! Ukija upande wa pili yaani Android ni kwamba wamekuwa hawana jipya kabisa, mbaya zaidi huo mfumo ulivyoachwa kuwa open source mpaka "shit phones" nazo zimedandia humo humo!

Kifupi advantage ninayoiona kwenye android ni uwezekano wa kutumia mod apk(ambalo sio jambo la kujivunia). Ila kwa kifupi official apk za ios ni way better kuliko android, android zimejaa takataka za kila namna.

NB: Nina device zote mbili za ios na android ambazo ni high end, kwahiyo najua ninachokisema!
Aisee....

Ngoja tukuache
 
Ukiniwekea hapa High end ya Apple ya simu, yaani iphone 17 pro max na Samsung s25 au zile fold.

Sitajiuliza mara mbili naenda kwa Samsung. Android ya Samsung + ONE UI yao ni balaa lingine.
 
Kwanini twende mbele halafu turudi nyuma?? Huoni tutakua tunapoteza muda bila sababu.

Mi nashauri twende mbele moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom