Kodi za kikoloni zimezidi, wakulima wa pareto, karangaz korosho, mahindi vilio tupu.KILIMO:
Pembejeo zinawafikia wakulima kwa wakati
Korosho imeimarika haswa
Mahindi ya kutosha hadi wale waliotaka tutangaze njaa wanaona soni
Pamba wamepata soko la MsD
Madalali wa kununua chakula shambani wanepigwa pini
Ushuru wa kipuuzi umefutwa ..
Mifugo yetu inaendelea kutambuliwa
Vifaranga vya Magonjwa kutoka nje vinateketezwa
Migogoro ya wakulima na wafugaji imepungua
Kiwanda cha matrekta Kimezinduliwa
NMC imerudishwa serikalini
.....NAULIZA NIENDELEE?