Abuu Abdurahman
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,447
- 1,770
Habari zenu wana jamvi na poleni na machofu ya mchana kutwa...
Kama kichwa cha habari kinavojieleza, naomba kujuwa kuhusu fani ya urubani gharama zake mpaka kufikia rubani wa ndege za umma katika nchi kama vile kenya, South africa, America nk (NB: lakini isiwe ndani ya Tanzania) pia kama kuna scholarship zinatolewa kwa fani ya urubani pia tujuzane pamoja na vyuo vinavyotoa....
Naomba kuwasilisha
Ahsanteni
Kama kichwa cha habari kinavojieleza, naomba kujuwa kuhusu fani ya urubani gharama zake mpaka kufikia rubani wa ndege za umma katika nchi kama vile kenya, South africa, America nk (NB: lakini isiwe ndani ya Tanzania) pia kama kuna scholarship zinatolewa kwa fani ya urubani pia tujuzane pamoja na vyuo vinavyotoa....
Naomba kuwasilisha
Ahsanteni