Tujuzane: Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote?

Samaki watamu utawakuta maji baridi,hasa wilayani kyela. Kuna
1. Mbagale nafikiri anapatikana ziwa nyasa tu.
2. Ngolokolo (hawa ni wadogo wadogo) watamu balaa.
3. Mbelele-huyu wengi wanaweza wakawa wanamfahamu
4. Mbasa. Huyu ni samaki mkubwa analiwa mpaka utumbo
5. Ndio wapo wengine Ngosyola,mbufu.
N.B hawa samaki nafikiri wanapatikana ziwa nyasa tu mito yake
maji baridi ndo hawa wa kufugwa nyumbani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom