Tuko pamoja mkuu, kambale wacha kabisa huyu samaki ni very mtamu.Kambale
Na huku upoHalafu mama me nafsi inaniuma hunipi nafasi kabisa. Unaniona kama me mleta comedy.
😀😀
maji baridi ndo hawa wa kufugwa nyumbani?Samaki watamu utawakuta maji baridi,hasa wilayani kyela. Kuna
1. Mbagale nafikiri anapatikana ziwa nyasa tu.
2. Ngolokolo (hawa ni wadogo wadogo) watamu balaa.
3. Mbelele-huyu wengi wanaweza wakawa wanamfahamu
4. Mbasa. Huyu ni samaki mkubwa analiwa mpaka utumbo
5. Ndio wapo wengine Ngosyola,mbufu.
N.B hawa samaki nafikiri wanapatikana ziwa nyasa tu mito yake
Hapana mkuu. Maji baridi ni kama hayo maji ya bomba. Ni ya kawaida yanayotumika hata kwa kunywa. Maji baridi hayana chumvi,kama ilivyo bahari ya Hindi. Ziwa nyasa lina maji baridi