Tujuzane baadhi ya USSD code za huduma mbalimbali

Bujoro

JF-Expert Member
Jan 30, 2018
3,046
2,131
Wakuu Habari za wakat huu... Nadhani mko poa leo naomba tujuzane ussd code's zinatufanya kupata huduma mbali mbali ya ktk mitandao tofauti tofauti tunayoitumia kila siku ktk maisha yetu ya kioa ck. Karibuni kwa mwendelezo naanza mimi nawe shuka nayo kwenye comments kama kuna mahali pamekosewa kwenye hizo codes naomba tusahihishe jmn.

*150*00# mpesa

*150*01# tigo pesa

*150*60# airtel money

*150*48# mula

*149*42# voda ya chuo

*149*60# salio la vifurushi voda

*149*60 *0753.......#tafadhali nipigie voda

*149*68*0753........# tafadhali niongezee salio voda

*149*69*0753........ # tafadhali nipigie voda

*149*53*0753........*500# kumtumia mtu salio voda

*149*45# menu voda fasta.

*149*49# vifurushi cheka vofa

*149*94# offers za airtel

*149*81# vifurushi vya chuo airtel

*149*81*4# vifo vya chuo airtel

*148*30*35# vifurushi vya chuo ttcl

*148*30# vifurushi vya kawaida ttcl

*148*55# vifurushi vya kawaida halotel

*148*66# vifurushi vya chuo halotel..

*150*53# Dstv

*150*36# DSe

*150*05# Wizara ya afya

*150*48# E bus ticketing

*150*50# Selcom

*150*51# Bima

Ongeza na ww unazozijua hapa ili iwasaidie wengine kama za zantel, smart, nk.
 
Tigo
Screenshot_20190821-175436_Samsung%20Internet.jpeg
Screenshot_20190821-175459_Samsung%20Internet.jpeg
 
Mula umeikosea

Sahihi ni *150*78#

Airtel chuo *149*99*7#

Menu mhimu Airtel *148*60#

Kurejesha namba yangu mwenyewe Airtel *148*86#


Offer maalumu Airtel *149*98#
 
Wakuu Habari za wakat huu... Nadhani mko poa leo naomba tujuzane ussd code's zinatufanya kupata huduma mbali mbali ya ktk mitandao tofauti tofauti tunayoitumia kila siku ktk maisha yetu ya kioa ck. Karibuni kwa mwendelezo naanza mimi nawe shuka nayo kwenye comments kama kuna mahali pamekosewa kwenye hizo codes naomba tusahihishe jmn.

*150*00# mpesa

*150*01# tigo pesa

*150*60# airtel money

*150*48# mula

*149*42# voda ya chuo

*149*60# salio la vifurushi voda

*149*60 *0753.......#tafadhali nipigie voda

*149*68*0753........# tafadhali niongezee salio voda

*149*69*0753........ # tafadhali nipigie voda

*149*53*0753........*500# kumtumia mtu salio voda

*149*45# menu voda fasta.

*149*49# vifurushi cheka vofa

*149*94# offers za airtel

*149*81# vifurushi vya chuo airtel

*149*81*4# vifo vya chuo airtel

*148*30*35# vifurushi vya chuo ttcl

*148*30# vifurushi vya kawaida ttcl

*148*55# vifurushi vya kawaida halotel

*148*66# vifurushi vya chuo halotel..

*150*53# Dstv

*150*36# DSe

*150*05# Wizara ya afya

*150*48# E bus ticketing

*150*50# Selcom

*150*51# Bima

Ongeza na ww unazozijua hapa ili iwasaidie wengine kama za zantel, smart, nk.
Ongezea *152*00# menu ya huduma za serikali.
 
Wakuu nikitaka Ku block simu zote zisiingie nafanyaje? yaani simu ikipigwa na mtu ikatike tu bila kusema busy!
 
zantel hawana bundle nzur za usiku pack kama ilivo ile ya airtel na tigo kwa 1500tshs
 
Back
Top Bottom