Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,089
- 13,308
Bei gan hii bloo huwa naiskia sana jina lakeHii kwenye list yangu haikosi. Nimeitumia tangu 2000!View attachment 1426127
Bei gan hii bloo huwa naiskia sana jina lakeHii kwenye list yangu haikosi. Nimeitumia tangu 2000!View attachment 1426127
Ni nzuri? Ndo madem wanaipenda eti ukipaka?Blue for MEN inauzwa 25K
Inanukia kigentlemen sana kiongoz halufu haitok kweny nguo ila inapungua Makali tuu tafuta perfume original 25K alaf tafut na spray yakeNi nzuri? Ndo madem wanaipenda eti ukipaka?
Poapoa ntatimba kkoo blue for menInanukia kigentlemen sana kiongoz halufu haitok kweny nguo ila inapungua Makali tuu tafuta perfume original 25K alaf tafut na spray yake
Weekend iliyopita nlienda kwa shemu wangu, nlikaa kwa sofa lake ule mtindo wa kujimwaga,,, basi juzi mshakaji wangu ananitania usije kwangu maana umeacha harufu yako, mamaa kila akikaa ktk lile sofa lazima aseme naskia harufu ya kush,,
Shemu ananiambia niende tena nikaongeze harufu yangu,,
Nikacheka tu
Yes...ipo sababu
Kwa hizi sms zako hauko romantic kabisaaaaa
Nipe hata intro kidogo!
Tujuzane maonesho yayajo wengine tuko swekeni!
Poapoa ntatimba kkoo blue for men
Nikali eh? Bei yake sh.ngapi na wap zinauzwaHiyo blue4men ni hatari na nusu
Nikali eh? Bei yake sh.ngapi na wap zinauzwa
Poapoa nitakwenda naona kabei nako ni kamtanzaniaElfu 25
Kama upo dsm kkoo mitaa ya agrey kuna duka kali la hivyo vyombo vy kunukia
Upo km mieeeeeh, yaaan hata jelly za kawaida natumia basi tyuuuuh, ila hata sizikubali lolSipendi manukato kabisa mdada mie
Duka gani man, niko MoroNilinunua Moro town...25elfu....ni og mzee ile
Kule town sabasaba ...duka lolote la vipodoz utaipataDuka gani man, niko Moro
Poa poaKule town sabasaba ...duka lolote la vipodoz utaipata