camily
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 255
- 609
Habari wakuu..
Naombeni msaada naona nina allergy na manukato (perfumes & body spray), zinanipa mafua makali sana..
Na hii sio nikipulizia mimi tuu hapana, hata nikikaa na mtu alojipulizia basi ni tafrani, mafua hayaishi..
Sasa ofisini plus mitaani humu kwenye vikao vya bia ni ngumu sana kukaa sehemu watu hawanukii, msaada dawa gani ya kumaliza hii shida
Naombeni msaada naona nina allergy na manukato (perfumes & body spray), zinanipa mafua makali sana..
Na hii sio nikipulizia mimi tuu hapana, hata nikikaa na mtu alojipulizia basi ni tafrani, mafua hayaishi..
Sasa ofisini plus mitaani humu kwenye vikao vya bia ni ngumu sana kukaa sehemu watu hawanukii, msaada dawa gani ya kumaliza hii shida