Jasnira
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 608
- 381
Nililetewa toka nje..Victoria secret ulinunua wapi?,nataka nikamchukulie mtu as a gift.
Nililetewa toka nje..Victoria secret ulinunua wapi?,nataka nikamchukulie mtu as a gift.
Ni nzuri SanaView attachment 476241View attachment 476242 Natumia products za Chris Adams! Active Woman au Active man perfumes. Spray ya Active Woman
Ok,poa mrembo.Nililetewa toka nje..
Ok poa mrembo.Nililetewa toka nje..
Kama uko dar nenda kuna duka la perfume pale mlimani city jirani na silver spoon au mlango wa kuingilia game kuna duka lina perfume nzuri za brand kubwa kubwa tu tena hadi huwa wanapima kwa vichupa vidogo kwa elfu 10 au 15 na wanauza pia hata complete.Ok,poa mrembo.
Manukato ya bei ni lazima lakini,au kunukia tu vizuri?Mimi ni mpenzi sana wa manukato hata mwanaume wangu napenda nimsikie akinukia harufu za manukato mazuri na ya bei. Inanipa hamasa sana ya kuwa nae hasa falagha na hio ni weakness yangu kubwa sana. Hata mkaka akiwa smart na ananukia vizuri yaani natokea kumkubali balaa.
Ngoja weekend hii nipite hapo na mimi ninukie vizuri.Nishazichoka hizi deudorant na spray za niveaKama uko dar nenda kuna duka la perfume pale mlimani city jirani na silver spoon au mlango wa kuingilia game kuna duka lina perfume nzuri za brand kubwa kubwa tu tena hadi huwa wanapima kwa vichupa vidogo kwa elfu 10 au 15 na wanauza pia hata complete.
Lazima yawe ya bei bei kidogo hizi cheap perfume nyingi ni mtihani. Mind me tunaishi na bf mbali mbali lakini huwa nikiondoka nachukua kitambaa changu cha mkononi na kipulizia perfume yake ambayo hata nikifua haitoki na miminia kweli na huwa naweka chini ya mto ninao lalia. Hadi siku tukionana tena nitapulizia tena. Mambo ya distance yanatesa sana.Manukato ya bei ni lazima lakini,au kunukia tu vizuri?
Unapulizia perfume yake ili ufeel like yupo around au?..long distance relations zina tabu kweli.Lazima yawe ya bei bei kidogo hizi cheap perfume nyingi ni mtihani. Mind me tunaishi na bf mbali mbali lakini huwa nikiondoka nachukua kitambaa changu cha mkononi na kipulizia perfume yake ambayo hata nikifua haitoki na miminia kweli na huwa naweka chini ya mto ninao lalia. Hadi siku tukionana tena nitapulizia tena. Mambo ya distance yanatesa sana.
Pitia pale utakuja kunishukuru hapa wana karibu brand zote unazojua wewe... Zinanukia vizuri sana hadi mtu anaweza kuuliza umepaka perfume gani. Bf nae ni mpenzi sana wa perfume ngoja siku nikionana nae nitaangalia pefrume alizonazo nitawatumia majina.Ngoja weekend hii nipite hapo na mimi ninukie vizuri.Nishazichoka hizi deudorant na spray za nivea
Ninapokuwa down nikisikia harufu tu basi napata feelings yupo around... Pia inanifanya nione kama yuko karibu nami kupenda kubayaUnapulizia perfume yake ili ufeel like yupo around au?..long distance relations zina tabu kweli.
Nitajitahidi mkuu nipite.Kuna jamaa yangu alikuwa ananisimulia stori yake ya kupata a cute girl,kisa girl alipenda tu anavonukia vizuriPitia pale utakuja kunishukuru hapa wana karibu brand zote unazojua wewe... Zinanukia vizuri sana hadi mtu anaweza kuuliza umepaka perfume gani. Bf nae ni mpenzi sana wa perfume ngoja siku nikionana nae nitaangalia pefrume alizonazo nitawatumia majina.
That's nice,kuliko kuchepuka kidogoNinapokuwa down nikisikia harufu tu basi napata feelings yupo around... Pia inanifanya nione kama yuko karibu nami kupenda kubaya
Ki ukweli wanawake tuna husudu sana mkaka anayenukia vizuri hata heshima inakuwepo. Usifanye mchezo una mkiss mtu shingoni unasikia manukato mazuri really ina ongeza mood ya show sana... Naweza kukun"gata shingo au hata akikumbatia wadada wanaelewa how it feels..Nitajitahidi mkuu nipite.Kuna jamaa yangu alikuwa ananisimulia stori yake ya kupata a cute girl,kisa girl alipenda tu anavonukia vizuri
Katika kitu nimeshindwa ni kuchepuka siwezi wala sijawahi bahati mbaya kunijia akilini..That's nice,kuliko kuchepuka kidogo
Zote nazielewa,,, love intention, fantasy and feelings unankumbuxha nkiwa sec 3 to 4Blue Royale.
Love intention.
Active man.
Knowledge.
Fantasy.
Feelings.
Kumbe,itabidi tuanze kweli kunukia vizuri.Ki ukweli wanawake tuna husudu sana mkaka anayenukia vizuri hata heshima inakuwepo. Usifanye mchezo una mkiss mtu shingoni unasikia manukato mazuri really ina ongeza mood ya show sana... Naweza kukun"gata shingo au hata akikumbatia wadada wanaelewa how it feels..