Well said.thanks againAny time mkuu.
Kutambua feki ni mtihani kidogo, may be kama umewahi kutumia hiyo perfume kabla ambapo unaweza kutambua kwa muonekano wa chupa (fake itakua na quality flani ya chini kidogo) au kama hilo duka wana testers unaweza kuspray kidogo kwenye mkono na kuangalia harufu yake na jinsi inavyobadilika overtime na hivyo kutambua kama top notes na base notes zote zipo sawasawa na original uliyokua ukitumia mara ya kwanza.
Kama haukuwahi kutumia kabla then unaweza kulinganisha bei. Cheki retail prices kwenye mtandao au hata ebay, kama ni fake bei yake itakua ni ya chini kama ni original basi bei yake itakua juu kidogo ya prices za ebay au unazoziona mtandaoni.
Option ya tatu ni kuangalia youtube, kuna reviewers huwa wanaonyesha jinsi ya kutofautisha fake na originals za perfume mbalimbali.
View attachment 477127
Nimeonja nimenogewa hakika lazima niipate
Uwez amini mpaka boss wangu(mtasha)kaulizia jina ya hii kitu.Huu unyunyu si mchezo aisee...nliutest kwenye mall flani..ina harufu flani ya kibabe sana
Inapatikana wapi Dar?View attachment 477127
Nimeonja nimenogewa hakika lazima niipate
BVGARI MAN naweza kuipata wapi kwa Dar (Tz) mara ya mwisho nilinunua Ethiopia Airport kwa 50usd
mkuu mimi na wewe ni marehemu watarajiwa, unaonaje tukijipulizia kabla ya kupuliziwa tukiwa marehemu kamili
Sifahamu.nina mshikaj anafanya kaz dubai nimeitest ya kwake nikaipenda.nafikiria kumwagiza broInapatikana wapi Dar?
JD Pharmacy Mlimani City au Village Walk Masaki jirani na Sea Cliff Hotel.Hivi kwa hapa bongo ni wapi naweza pata hizi original perfume?
JD Pharmacy. Hawa jamaa itabidi wanilipe nawatangazia sana biashara.BVGARI MAN naweza kuipata wapi kwa Dar (Tz) mara ya mwisho nilinunua Ethiopia Airport kwa 50usd
Mimi kuna mtu alishawahi niletea zawadi ila ni BVGARI GOLDIEA ilikuwa imeandikwa in Tshs. 245,000/= inawezekana zipo maduka makubwa.BVGARI MAN naweza kuipata wapi kwa Dar (Tz) mara ya mwisho nilinunua Ethiopia Airport kwa 50usd
Ushawahi kupata compliments kuhusu huu unyunyu?Mimi kuna mtu alishawahi niletea zawadi ila ni BVGARI GOLDIEA ilikuwa imeandikwa in Tshs. 245,000/= inawezekana zipo maduka makubwa.
Sana tu ni nzuri na inakaa sana mwilini hata mwilini napo inakaa vizuri japo nina nyingine za victoria secret, Burberry Body, Agent Provocateur Fatale intense lakini still Goldie kwangu ni best.. Huwa napakaa tu nikitoka kwenda kwenye sherehe tu.Ushawahi kupata compliments kuhusu huu unyunyu?
Victoria secret ulinunua wapi?,nataka nikamchukulie mtu as a gift.Sana tu ni nzuri na inakaa sana mwilini hata mwilini napo inakaa vizuri japo nina nyingine za victoria secret, Burberry Body, Agent Provocateur Fatale intense lakini still Goldie kwangu ni best.. Huwa napakaa tu nikitoka kwenda kwenye sherehe tu.