Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Hasara roho tu, jitosee mkuu.

Siku hizi nimeshtuka kuna vikopo vya bei chee sana na vinafanya vyema kuliko hizo cologne za mapesa mengi...

Kuna moja nimesahau jina,haina bei

Brand ni lonkoon,
Chupa ya mviringo rangi ya orange [emoji521].
Nilitumia kichupa kimoja tu.

Hii ilikua nzuri sana,niliisaka mno sikufanikiwa.

Hornet
Hebu niulizie kama inapatikana huko.
Naipenda mno.
Kweli bro, ngoja nijitose tu
 
Hasara roho tu, jitosee mkuu.

Siku hizi nimeshtuka kuna vikopo vya bei chee sana na vinafanya vyema kuliko hizo cologne za mapesa mengi...

Kuna moja nimesahau jina,haina bei

Brand ni lonkoon,
Chupa ya mviringo rangi ya orange [emoji521].
Nilitumia kichupa kimoja tu.

Hii ilikua nzuri sana,niliisaka mno sikufanikiwa.

Hornet
Hebu niulizie kama inapatikana huko.
Naipenda mno.

Nipe picha zote

Kesho nakupa price
 
Nipe picha zote

Kesho nakupa price
Wooow! Aisee nimeipata,Hii ni fire [emoji91]
Ukipata nijuze aisee
Screenshot_20221222-231203_Chrome.jpg
 
Ukivaa ukapendeza,
Ukamtupia huyu jamaa,
Hakika atakupa heshima sana.

Moja kati ya silaha zangu za kivita ninazoziamini...

Kama kuna mwamba kawahi itumia alete review yake hapa.
IMG-20201119-WA0001-1.jpg
 
Natafuta perfume ya Forever 25th Edition (inauzwa kati ya 120k-130k) niliponunua awali hawana Tena.

Screenshot_2022-12-23-09-38-07-23_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Back
Top Bottom