Tujuane

Tujuane

Sijui nikikuelekeza utapaelewa kweli make ni mbali sana.
Nipo mtaa wa Jamii forum ukikata kushoto kuna bango kubwa la MMU sa pale uliza familia ya kula kimasihara!
 
Kwani ni kukavu sana kule au hapana vibe???
Kule mtaa mzima mnafahamiana. Ukienda mgeni kila mji wanajua nyumba ya mzee flani ameingia mgeni.

Afu huko Manyovu alikopataja wengi ni warundi mzee
 
Back
Top Bottom