Tujivue gamba ni wakati sahihi

Tujivue gamba ni wakati sahihi

IMG-20250603-WA0009.jpg
 
Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo alitangaza kumsamehe Askofu Gwajima baada ya kumtolea maneno makali akimwita msaliti wa viongozi wengine wa kikiristo chini ya Jukwaa la Wakrito Tanzania (CCT), ambao walipinga Katiba iliyopendekezwa baada ya Bunge maalumu la Katiba mwishoni mwaka 2014. Wakati huo hakuishia kwa Kardinali Pengo bali alimshambulia pia Spika wa Bunge wa wakati huo, Anne Makinda.

Utata wote huu uliogubika maisha yake, haujawahi kuwa chanzo cha kupoteza umaarufu au kushuka kisiasa, lakini sasa inaonekana meza ambayo ameamua kuitingisha Gwajima, huenda ikamdondosha kisiasa, hasa ukizingatia kauli ya Rais Samia ambayo iliashiria kumlenga yeye.

Huku uchaguzi wa Okotba 2025 ukikaribia, Gwajima ataamua ikiwa anataka kufumba mdomo kama wenzake wa CCM ili pengine abaki kwenye siasa za chama hicho au ataendelea kuzungumza na kukemea utekaji na watu kutoweka, huku akijua hilo linaweza kuyatamatisha maisha yake ya kisiasa ndani ya CCM.
 
Back
Top Bottom