Hizi ndio akili za kina mwa 4 Lizaboni na Simiyu Yetu hawaelewi hata nguvu ya bunge ni nini... mbaya zaidi wanatoa ushauri ambao ukichukuliwa na rais utaamsha machafuko nchini na ni kitu ambacho rais hawezi thubutu....
Mkuu hawa ni watu duni Sana kifikra.
Hata mimi ni proffesor
mpumbavu hata umtwange katika kinu upumbavu wake hauta mtoka.
Kama Umepokea Mgao ili uje kutetea hapa UMETOKOTA. Pesa zao kula maana ni jasho letu ila KAWAAMBIE WALIOKUTUMA kuwa HAWASAFISHIKI HATA KWA HERPIC POWER...
Kwa jinsi ambavyo mh. Waziri amepambana kuisafisha TANESCO hadi kuchukiwa na watu waasiolitakia mema taifa , lakini bado akaonesha kutotetereka, nashauri ateuliwe kuwa waziri mkuu katika uchaguzi mkuu utakaofqnyika oktoba, 2015 ili jitihada zake za kusimamia rasilimali za nchi zipate nguvu zaidi.