Tujitahidi tusiwe single mpaka uzeeni

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
40,307
Reaction score
62,517
Kwa wewe mwanamke kwa nini uliachwa na mpenzi wako wa kwanza au kwa nini unaendelea kuachwa? Na wewe mwanaume kwa nini ulimuacha mpenzi wako au kwa nini unaendelea kuacha?Haya maswali yanahitaji majibu ili tujirekebishe kabla hatujawa wazee au jua kuzama tukiwa single.
 
Kuna ukweli,ingawa mi nadhani zaidi ni tamaa ndio maana wadada wengi wanakimbilia kupenda pesa kabla ya utu
 
Hapo kwenye kizazi cha nyoka kupajua ndo mtihani, akizipata anaanza kusema hawaendani, ndo maana hali imechafuka kila jinsia ni kumfanyia timing mwenzie mapenzi ya kujitoa hayapo tena
Wapo ambao wana heshima, na pale wanapo pata mafanikio wanazidi sana kua na upendo na familia na heshima kwa mke na familia. Ila ukipata kizazi cha nyoka utakomaa
 
Ngoja Lizarazu aione hii atakuita mwanaume bwege
 
Sasa mkuu nini kifanyike
 
Duh

Mi sijui nisaidie basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…