marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,635
- 3,655
twende twende,mashavu kama mimba ya panya,pua kama kona ya sambusa,mwone mrefu hadi unauza karanga kwenye ndege,maskio kama upawa wa uji...twende twende,.....mnakumbuka zile za babaangu anaendesha mkoko 1,baba ako mkoko 2,mpaka mnafika inakuwa mkoko10,mara baba yangu one-moja,ukitegea mwenzako aseme babaake two-mbili(tumbili)
snochet umenikumbusha mbali!!
Moja nepa shauri ya mavi
Mbili...........
Ikifika nane ndio issue!!!!
Last edited by a moderator: