PreGE2025 Tujikumbushe ya Askofu Gwajima

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
kama anaongea kutoka moyon na anaumizwa kuhusu haya yanayoendelea nchn kwetu mi ntamuelewa dada pendo.
 
Hii ni misheni na kuna mtu anatafutwa hapo, take my words
 
Kwa kweli mimi nimemuelewa gwajima tena vizuri sana.je aliyoyaongea ni ya uongo?
 
Mashabiki wa chadema walivyo nyumbu wanamtetea kwa nguvu zote.
Hilo swala halina cha uchadema wala uccm.kwa hiyo kwako wewe mtu akipinga mauaji,utekaji,utesaji na ubakaji unamuona ni mshabiki wa chadema siyo
 
Mtekeni tu
 
kwani aliyosema ni uongo mpaka tushindwe kumuelewa? utekaji uliopita mizizi sasa polisi wamefanya kitu gani mpaka sasa? mbona kuzuia mikutano ya siasa wapo Fasta sana kuliko kushughulikia watekaji?
 
Umemuota Gwajiboy usiku mzima ikabidi umuandike vibaya humu kabla hata hajakutoka akilini.
Angalia usimuote kwenye ndoto nyevu ✌️
 
Hilo Jimbo la kawe ni la ccm sasa cjuh round hii mtakuja na propaganda hi kwasababu majimbo yote mlipita kwa kishindo kwahiyo hoja ya kutokuwepo maendeleo ktk Jimbo la kawe ni mistake ya ccm hamna namna ya kujitetea
 
Matako wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…