DISGUISE16
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 372
- 259
Nakumbuka nilikua sifaham maana ya kipindi cha "club raha leo shoooow" kikinikera kweli kikianza! Na hakuna station nyingine kubadilisha labda tuweke cassete ya UB40! Time hizo baba awe hajarudi home lkn, akirudi hatuna tena access na radio! Those were days