Domaradzka
Senior Member
- Apr 19, 2016
- 135
- 168
Maisha ya raha tu hayawezi kumfunza mtu. Katika maisha lazima upitie kipindi kigumu walau cha kukupima uwezo wako wa kukabiliana na changamoto. Hata elimu iko katika mkondo huu, kuna wakati chuoni tulipitia magumu katika baadhi ya kozi hata kukata tamaa.
Lakini pia baadhi ya wahadhiri walifanya maisha haya yawe magumu kwa ubabe wao na kauli zao tata. Vijana wakiwa wanajiandaa kwenda vyuoni hebu tujikumbushe hao wahadhiri ambao walitufanya tuone maisha ni magumu.
I will never let my government down. Siwezi nikaruhusu kilaza avuke mwaka na kwenda kuua watanzania-Dr.Thomas Nyambo, Biochemistry MUHAS
Lakini pia baadhi ya wahadhiri walifanya maisha haya yawe magumu kwa ubabe wao na kauli zao tata. Vijana wakiwa wanajiandaa kwenda vyuoni hebu tujikumbushe hao wahadhiri ambao walitufanya tuone maisha ni magumu.
I will never let my government down. Siwezi nikaruhusu kilaza avuke mwaka na kwenda kuua watanzania-Dr.Thomas Nyambo, Biochemistry MUHAS