Quimica
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,029
- 1,254
Nipo Hapa Jamaa saiv Anafundisha mwaka wa nne tuSchool of Pharmacy-MUHAS.
Prof Minzi alikuwa kikwazo sana kwenye Pharmacology, sup zilikuwa ni kawaida kwenye Pharmacology sababu ya yeye.
Nipo Hapa Jamaa saiv Anafundisha mwaka wa nne tuSchool of Pharmacy-MUHAS.
Prof Minzi alikuwa kikwazo sana kwenye Pharmacology, sup zilikuwa ni kawaida kwenye Pharmacology sababu ya yeye.
ChambegaAaitwa nani😂🙃🙃
Yaan hadi Education nayo ukamatwe?Namkumbuka Rugambwa from MWENGE CATHILOLIC UNIVERSITY, huyu jombaa alikuwa anafundsha course ya 'education management' usipopata supplementary basi ujue umesha-graduate,na ikitokea umepata supplementary basi jiandae kwa carry over...huyu lecturer ni muhaya na ana majivuno hatar!
Kwa uandishi huu nitasikitika sana kama ulifauludr... AMAN DAVID UDOM marketing management dah uyu msabato sio poa duh kludisha 300 haoni tabu
Professor Dominic chambega hiyo habari nyingine😂😂Chambega
Sikufaulu kaka umejuuaje japo gpa yangu uwezi igusaKwa uandishi huu nitasikitika sana kama ulifaulu