Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,716
- 45,115
- Thread starter
- #21
Hivi Kipa Mahmoud Nyalusi wa enzi za wakina Nonda alikuwa Raia wa wapi?
Sijajua
Hivi Kipa Mahmoud Nyalusi wa enzi za wakina Nonda alikuwa Raia wa wapi?
Maana kipindi hicho kulikuwa na Makipa wawili wakali Yanga kwa wakati mmoja,Sadiq Kalokola na Mahmoud Nyalusi.Sijajua
Ukiacha Claus Kindoki, golikipa gani wa Congo/Burundi aliwahi kucheza Yanga?
Mtanzania wa Iringa or NjombeHivi Kipa Mahmoud Nyalusi wa enzi za wakina Nonda alikuwa Raia wa wapi?
Maana kipindi hicho kulikuwa na Makipa wawili wakali Yanga kwa wakati mmoja,Sadiq Kalokola na Mahmoud Nyalusi.
Doi Moke ni mkongo
Besala Bukungu
Nyalusi ni Jina la kihehe bila Shaka ni mtanzaniaHivi Kipa Mahmoud Nyalusi wa enzi za wakina Nonda alikuwa Raia wa wapi?
HV patchou mwango Kongo alidedi