SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
Jamani nakumbuka nilipokuwa mdogo kulikuwa na imani za ajabu ajabu 'streotypes' katika makabila mbalimbali sina uhakika kama bado zinaendelea..
Mfano tulikuwa tunaambiwa..ukikalia yale mafiga kwa kule vijijini kwamba utakuwa mfupi!
..uking'oa jino ukilitupa batini basi hayataota meno mengine..
Mnaweza kuendelea na nyie kwenye maeneo yenu!!
Mfano tulikuwa tunaambiwa..ukikalia yale mafiga kwa kule vijijini kwamba utakuwa mfupi!
..uking'oa jino ukilitupa batini basi hayataota meno mengine..
Mnaweza kuendelea na nyie kwenye maeneo yenu!!