MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,224
- 22,305
Wakuu nimeona leo tukumbushane mambo hatari ya kukwepa hasa unapokuwa ndani ya nchi tukufu Tanzania.
1. Kujihusisha kimapenzi na mke/mume wa mtu.
2. Kujihusisha kimapenzi na mwanafunzi (shule ya msingi na sekondari).
3. Kumpa mimba mwanafunzi (shule ya msingi na sekondari)
4. Kujihusisha na biashara yoyote haramu hasa ile ya uuzaji wa madawa ya kulevya.
5. Wizi wa aina yoyote.
6. Kukutwa na nyara za serikali.
Ongezea mengine.
1. Kujihusisha kimapenzi na mke/mume wa mtu.
2. Kujihusisha kimapenzi na mwanafunzi (shule ya msingi na sekondari).
3. Kumpa mimba mwanafunzi (shule ya msingi na sekondari)
4. Kujihusisha na biashara yoyote haramu hasa ile ya uuzaji wa madawa ya kulevya.
5. Wizi wa aina yoyote.
6. Kukutwa na nyara za serikali.
Ongezea mengine.