Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru

Sijaona aliyetaja Safina. Bazzu sitalisahau. Ila mlio wa Leyland ulikuwa unanimaliza hasa kwenye mlima

RELWE%5B1%5D.jpg

hapo abiria 63 ndani.
 
Nakumbuka mabasi kama The Roots (Muleba - Bukoba) nadhani ndiyo ilikuwa Scania basi ya kwanza ya binafsi enzi hizo,
RETCO - Bukoba - Kaisho (Karagwe)
Double Action (Bukoba - Nshamba)
Vijiji Saba (Bukoba - Ruhunga)
Abdjan (Bukoba - Kamachumu)
 
nilikuwa darasa la kwanza , mimi na mama tulisafiri kutoka Tanga kwenda Mbeya, tulipitia Dar kutoka dar tulipanda tazara hadi Mbeya, watu si kugombania na kupigania kuingia kwenye treni..na mabegi yetu.
 
The Big Mayai - Dar to Dom

Yaah man, The Big Mayai ilikuwa very luxurious kwa enz hizo, ndo Marcopolo za kipindi hicho...Mwenzake alikuwa Cat Bus.
Pia kulikuwa na Natasha Bus(Dar -Dom), Mlendas &Yellow Line(Singida-Iramba), Super Star(Dar-Dom), Safari Coach (Dar -Iringa), Scola Stika (cjui ni Dar-Moro au), Delux Coach(Dar-Dom), Atlas (Dar-Singida) nk
 
Ndekule bus service na ngoreme coach musoma, musoma bus , tanganyika na mwana mara
 
Muki Mtoto toka Mlale - Mzumbe - Morogoro town. lilikuwa likichanganya kwenye barabara ya lami kuanzia Sangasanga kuelekea town, lazima muinue miguu juu, manake sakafu inatekenya basi zima mnacheka! kuna siku mama mjamzito ilibidi ashushwe mitaa ya Mindu ili ajifungue kwenye majani basi limeshindwa kumuwahisha morogoro mjini hospitali!!! Miaka ya 1988+
 
another cat bus service , ngulwi bus service , black nyau , umba river tours"air mlalo" , shambalai , bin slyem
 
nguvu kazi [mwenge-stesheni] , skola stika[mwenge-stesheni] , riziki kwa mungu"tim yulee!"/riziki kwa mungu"golo yulee!" golo bus service"tim yulee!"[mwenge-stesheni;chang'ombe via maduka mawili-posta] , mv mapenzi[chang'ombe posta] , kitmeer[temeke chang'ombe n.k] , dau la mnyonge , kuti kavu , ugweno , e.t.c

walio wahi kuishi dar watanielewa !
 
Shella beach (Ubungo-Posta)Rashidi sleeping Coach(Posta -Kilwa road)REd Sox(Ubungo-Posta)Super Bayankata(Ubungo-Posta)Kunta Kinte(Ubungo-Posta)
 
Mashiku, Serengeti, Tanganyika bus na Farai couch kwa safari za Mwanza-Musoma miaka ya 90.

Bila kuwasahau: Bukwaya (hawa ilukuwa lazima uvae smart ndo uingie kwenye gari vinginevyo wanakushusha -MZA-Musoma), Nyehunge express, Ngulyati, Yarabi Salama n.k
 
Another Cat Bus Service, Gologolo, Ngulwi, Ubiri, Shambalai, Umba River, Shambalai, Bin Sleim, Satellite, Rahaleo
 
Back
Top Bottom