Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru

Fadhili Mawese, Kigoma kwenda Kibondo kupitia Kasulu. Likikupita utalipata tena baada ya wiki miaka kama 40 iliyopita hapo
 
Wewe ni dot com..[/QUOTE]
Msweken yupo right, kulikuwa na basi linaitwa SAHIB aka Kamujingijingi Ar-Singida; Sio hivi vidaladala hapa Bongo.
Mmesahau Ar-Ta kulikuwa na GMT kiboko ya njia, Shengena, No challenge. Ar-dar kiboko ya njia zilikuwa Bazuu express, Kipengule, SMAA MOTORWAYS na nyingine Langata, Sollo sr, Master city, Rombo Investment, aka one way ticket. Dom kulikuwa The Big Mayai, Another Mayai, Highland, Amit, Siri yako, Zainab, Boy Friend hapa Ar kulikuwa na Sabena Jet, Born city, Kwetu liner aka give way, Kindovenis, Bullet, Mwananchi, na hii Mtei ilkuwa ikiitwa Hanang bus service. Halafu Ar-Moro hii Hood ni ya zamani kinoma; wakati Islam anaanza mwaka 1991 alikuwa na dreva mkali anaitwa Makatta alirubuniwa sana na Hood amchukue Islam akamwandikia nyuma Bata hapewi pumba...
 
Sasa mkuu ukiweka basi za kisasa kama Dar Express, inakuwa sio kukumbuka tena maana kila mmoja anayaona. Raha yake zitajwe basi za miaka mingi nyuma tangu uhuru; hiyo ndio historia!
Mkuu DAR EXPRESS kipindi kirefu tu. Hii ni moja ya Kampuni za siku nyingi pamoja na HOOD , NGORIKA nayo ya tangu 1974.
 
Baby face,upete,metro,embakassy,Mwafrica,Masia,Matema beach video coach,Taqoubal(dar-malawi),M-sleeping coach,nk Haya yameoperate miaka ya 90...Nikaribisheni jukwaani wadau(though hapa sio pake)
 
Mkuu ww kweli wa zama zangu, Sahib pia ilikuwepo Ar-Dom , nyingine Loliondo Bus Service, Kindoroko Bus Service, alafu kuna nyingine iliwahi kuanguka mto karanga jina linabip kwa mbaali, tumechora sana haya mabus ndio ilikuwa trendy ya miaka hiyo
Wewe ni dot com..~~~~~..
 
Wadau haswa lale lalioenda umri kidogo, hebu tukumbushane mabasi yetu ya zamani. Mengi yalikuwa ni Leyland.
Nakumbuka Njuweni, Masama Clif na Masama Safari, Yarabi Salama na Yarabi Toba.

RELWE%5B1%5D.jpg


Vacation+151.jpg



IMG_6542.JPG


UDA.jpg

UDA

sikinde.jpg


attachment.php

Afadhali ya mabasi ya zamani umenikumbusha mbali ila kumbukumbu zangu zilimalizwa na ufisadi wa nauli kati ya dar-mbinga utachoka mwenyewe utatamani hizo LAYLAND Ukitoka dar teremka njombe na hapo panda hadi mbinga nauli ni 40,000 Ila ukitoka dar moja kwa moja hadi mbinga nauli 55,000 Niambie utataka layland nilisafiri mwaka 1972.Umenikumbusha mbaaaali Shukrani
 
Mkuu ww kweli wa zama zangu, Sahib pia ilikuwepo Ar-Dom , nyingine Loliondo Bus Service, Kindoroko Bus Service, alafu kuna nyingine iliwahi kuanguka mto karanga jina linabip kwa mbaali, tumechora sana haya mabus ndio ilikuwa trendy ya miaka hiyo

Safina Bus ndiyo iliyoanguka mto Karanga.
 
Back
Top Bottom