Tujikumbushe Kipindi kileeee JAMBOFORUM!!

Tina ndiyo mke wangu na tuna mtoto mmoja wa kike!

Enzi hizo Jambo forum balaa ilikuwa,mwanzilishi wa hii kitu kijana wetu Max Melo siku hizi mambo yake mazuri anapaka poda hata watu wake sisi hatukumbuki kabisa ahahahaha

Anachojali yeye Max siku hizi ni wingi wa members na clicks badala ya quality.
 

Sie wengine bado tupo ila tunatembelea JF kutokana na mazowea tu, maana huo u-CCM vs u-CHADEMA umeiteka kabisa JF. Nadhani kuna haja ya kitu kama Operesheni Kimbunga au Operesheni Tokomeza (minus ukiukwaji haki za binadamu na mauaji) ili kuirejesha JF katika zama zile zilizoifanya unmissable.
 
Last edited by a moderator:
Enzi zile kulikuwa na mzee Thinkpad, Mtanzania, Maxshimba, Pingilingombe, Shy bajukwaa la dini kiingilio kilikuwa zeroo yaani full kujiachia.

Hawa jamaa ilikuwa hatari nadhani wanawezakuwepo kwa ID zingine maana kama Mtanzania sijamuona miaka sasa.....

wengi sijui walibadili ID zao au walipotea moja kwa moja.

Hawa nadhani wanatumia ID zingine ila walikuwa na michango mizuri sana

Kipindi kile hakukuwa na chitchat jukwaa la wakubwa liliwekewa alama ya mkasi

Mkuu nikisomaga comment zako nacheka tu mwenyewe hahaha

Mmenikumbusha akina Pundit, Blueray, Mshihiri, Naima na wengine wengi. JF ilikuwa haichoshi wala kuchefua.

Kuna jamaa hapo pundit alikuwa hatari sijui wapo wapi hawa watu kwa kweli.


Hapo hasa ilikuwa ukimkuta YOYO na Nyani Ngabu wakijibizana utacheka sana hahah
 
Last edited by a moderator:
Ilikuwa safi sana kipindi hicho.

Sent from my SM-N9005 using Tapatalk
 
Reactions: GMC
Nice to hear from you guy, its true jf ya sasa sio sawa na ile ya miaka ile, majukwaa mengine yametawaliwa na siasa, na huko kwenye siasa ni chadema na ccm tu, Kule MMU wamejaa watoto kutoka fesibuku basi tabu tupu


 




Yaani mimi kipindi kile nilikuwa napenda sana Bcstimes na jambo Forum.

Wakati ule kulikuwa na wachangiaji great Thinkers haswa.


Napenda sana ukumbi wa SHAIRI ni nilkuwa nachangia hoja haswa. Mtu anaweka shairi lake na watu wanalijibu kishairi. Ilikuwa raha sana.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Mkuu,
JF ya sasa haina mashiko hoja ni CCM na CDM na udini.Mimi siku hizi kusema ukweli JF sio source yangu ya news kama zamani na huwa naweza kumaliza hata miezi miwili sijaingia JF.Hamna jipya.I really miss Jambo forum

Ni kweli mkuu. Kuna watu humu wameigeuza JF kuwa mimbari ya mahubiri au ofisi za vyema vyao. I really miss the old JF!
 


Hope nami nimo!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…