Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,359
- 2,379
Kulikuwa na utoaji kauli kali na chafu kutoka kwa wapiga debe kuanzia kwa BWM,Wadirahadi mcharuko Lusinde..Keyboard pia zilimwaga maudhi na kejeli zikiongozwa na rejao,mzee,balantanda,fisadi mtoto nk
chaguzi imeisha
sasa tujikumbushe na kuona
tija yake
Nakumbuka Nape alisema kuchagua mbunge wa upinzani hakubadili serikali wala raisi...does it sound wise?
chaguzi imeisha
sasa tujikumbushe na kuona
tija yake
Nakumbuka Nape alisema kuchagua mbunge wa upinzani hakubadili serikali wala raisi...does it sound wise?