Tujikumbushe Kauli tata katika kampeni

Tujikumbushe Kauli tata katika kampeni

Inkoskaz

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
6,359
Reaction score
2,379
Kulikuwa na utoaji kauli kali na chafu kutoka kwa wapiga debe kuanzia kwa BWM,Wadirahadi mcharuko Lusinde..Keyboard pia zilimwaga maudhi na kejeli zikiongozwa na rejao,mzee,balantanda,fisadi mtoto nk
chaguzi imeisha
sasa tujikumbushe na kuona
tija yake
Nakumbuka Nape alisema kuchagua mbunge wa upinzani hakubadili serikali wala raisi...does it sound wise?
 
1, msiwachague wapinzani ni wajinga----mkapa
2 hawa ni sawa na vifaranga___ mkapa
3 mimi ni mtu wa vitendo si maneno------------lowas
4 wanajifanya wanavaa magwanda hata mgambo hawajapita? Kibajaji
 
1, msiwachague wapinzani ni wajinga----mkapa
2 hawa ni sawa na vifaranga___ mkapa
3 mimi ni mtu wa vitendo si maneno------------lowas
4 wanajifanya wanavaa magwanda hata mgambo hawajapita? Kibajaji
gazet la RAI likakazia kuwa utafiti unaonyesha CCM inaongoza more than 60 percent
..sijui walitafiti wapi
 
kawajibu kuwa bungeni haendi kufunhisha ndoa
bungeni haendi kupeleka mvi
bungeni anenda kuwakilisha maskini wenzie

Mi nakumbuka vijembe vya Vincent Nyerere, huyu jamaa alikuwa burudani sana kwenye mikutano.

-"mimi nilipewa na bibi yangu dawa ya kutapishwa uoga nikiwa mdogo, bahati mbaya niliji over dose na ndio maana dawa zote zikaandikwa weka mbali na watoto"

-"Ukubwa wa boflo, kiboko yake chai"

-"Hawa CCM ni walaini kama maini"


Hizi burudani tutazi miss sana.
 
Back
Top Bottom