Tujikumbushe ILBORU

Duh! You have really made my day....Fermented sumu ilikuwa noma hata mimi nilikuwa mhanga wa hiyo new invention!
Btw,ni kweli Mzee Mtui alitangulia mbele za haki some years ago...RIP.
Vipi kina Frank Mdimi(FAM) na vibwozo vya kitei???
Where are guys like Mgaywa wa Magafu??

Kamanda if you know those two, then i know you? who are you?

RIP Chief!!
 
Sasa tunaye General Mutabuzi huyu MKUU ni noma sana, namaanisha hafai kwa ustawi wa hii shule

uploadfromtaptalk1338646827411.jpg
 
Aisee hii imenichekesha sasa, hii nadhani ilikuja baadae. Sisi hatukuiacha.
Bravo G la N!

ILBORIASIS MSULIATA= scientific name ya mwana ilboru

Hahaha...kipindi nasoma hapo ilibadilika na kuwa Ilboriasis Bundiata

Bundiata ilitokana na neno Kubundi au kusoma usiku wa manane
 
Wana ilboru tuje tuunde alumni ya ki jf.
Wenu mtiifu,
Bishanga abashaija
Pcm ilboru enzi za headmaster mushi.
 
uploadfromtaptalk1372314667767.jpg
Naunga mkono hoja

ukiitazama ya star tv utaniona nimeshika kipaza sauti.......ITV walinikata. Nashukuru kuwa mmoja wa mageuzi yale na leo hii taaluma ya shule inaonekana. Pongezi za dhati kwa HM. SHULLA.
 
Dah long time!...mnakumbuka barid ya ilboru esp kipind kama hich!...mtaftano kweny kuoga..maji yenywe ya mto...baridiiii!
 
jamani wapendwa,mwl Losujaki hatunae tena kafariki jumanne ya wiki hii asubuhi.tarehe 20/03/2012.atazikwa jumamosi ya tarehe 24/03/2012 kule kwao Sombetini.RIP LOSUJAKI.

Dah RIP..nakumbuka huyu jamaa kuna cku ilikua zamu yake tukachelewa kuamka ataenda kutulaza na mashuka yetu kweny ukoka wa parade group na ule umande wa asubui!..alikua mtata sana...kitu chief
 
Kweli Rajao hafananii na wamenye kabisa .Ila anaweza akawa ndiye Mwigulu Nchemba aisee-maana naye ni mmenye aliyeasi.Kaamua kuitumia elimu yake/kipaji chake kujinufaisha wakati taifa lilituweka pamoja umenyeni tuje kuikomboa nchhi

haaaa Rejao ndio Savimbi? Ngoja niende pitch nikapige picha na mazoezi ya kupanda ule mlima kisha niende enaboishu home
 
Last edited by a moderator:
tuliosoma GCSE,hapa tunapita tu no comment hopefully kila mtu ameinjoy/amekwazika kwa sehemu aliyopitia
 
Kweli umbwe kwa mbege walikuwa vizuri sana,yaani siku kama ya graduation wanafunzi wanakuwa bwii au bwax kama walivoita wenyewe
 
Please mods hii iangalieni vyema hii thread kama kweli inastahili kukaa jukwaa la Picha. Tafadhalo mods tuteendeeni Haki Ilborians mtuweke mahala panapostahili

cc Paw Buchanan Invisible

Regards
 
Last edited by a moderator:
jamaa alikua mtemi balaah!...ingawa ktk somo la historia alikomalia madenti kuandika essay kwa mpangilio,si ajabu paper ya muhula ikawa ni maswali ya essay tu.

Amewahi kutulaza kwenye parade ground asubuhi kisa hatujaamka kwenda kuhesabu namba.
 
ILE SHULE JAMANI DAH Nakumbuka kuna siku nikiwa form 2 nimepewa maandazi niwapelekee walimu pale staff ghorofani nilipokua napanda ngazi nikachukua kama matatu duh hii thread imenikumbusha mbali sana kuna mashindano ya usafi wa bweni Kibo,Mawenzi,etc kuna dispensari yetu kule kaloleni ata kama ujaumwa utaomba sick sheet ili ukatembelee twn. Kuna kile kidaraja kinatenganisha madarasa na mabweni chini yake kuna maji ya asili masafi sana. Golgota hapo ndipo watu ufanyia mtihani. IDUMU FIKRA ZA ILBORU DAIMA HAKIKA TUTAKUKUMBUKA AM HERE BECAUSE OF ILBORU. HII THREAD IWE STICKY Moderator Paw Cookie Invisible Fang
Please mods hii iangalieni vyema hii thread kama kweli inastahili kukaa jukwaa la Picha. Tafadhalo mods tuteendeeni Haki Ilborians mtuweke mahala panapostahili

cc Paw Buchanan Invisible

Regards
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom