duh, nimekumbuka kina Blanka Shao, Moikan, Kimaro na yule wa konyagi pale kwa Loning'o (Johnson) alikuwa anafundisha kiswahili miaka ya mwisho ya 80, nimemsahau jina (is it Kimasiha??)....
Kuna mzee wa Mh, ndio bwana mzee (RIP, Juma) etc.....
Duh kweli imekuwa zamani...
Kuna mzee wa Mh, ndio bwana mzee (RIP, Juma) etc.....
Duh kweli imekuwa zamani...