Tujikumbushe hii ya Amina Chifupa

Status
Not open for further replies.
Dah, watu ni wabunifu sana yaani NYEPESI, Zana Za Kilimo, (Zama Za Kale)
Hii sheria mpya inatakiwa ipindishwe ili lengo lao litimie.
 
Kwa hiyo nao waliompokea makongo ilihali wakijua alikuwa na skendo ya kukwiba Mme wa MTU walikosea hivyo ilitakiwa asipatiwe Huduma ya masomo?

Mpaka sasa sheria zetu za Wizara ya Elimu Utamaduni haziruhusu mwanafunzi wa Sekondari kuolewa na kuendelea masomo.

Kama Makongo walimpokea huku wakijua kwamba huyo mwanafunzi ameolewa na wakamuruhusu kuendelea na masomo, watakuwa walikuwa wamevunja sheria za nchi.
 
Jua sheria vunja sheria kama joka mkonyezaji
 
Kumbe huu ndio uzalendo wa "kiongozi mkuu" hataki kuowa anatafuna wake za watu.
 

Kitakachofurahisha ni jinsi thread hii iliyojaa umbeya na maisha binafsi ya watu itakavyokimbia na kufika page nyingi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…