Tujikumbushe hii ya Amina Chifupa

Tujikumbushe hii ya Amina Chifupa

Status
Not open for further replies.
Dah, watu ni wabunifu sana yaani NYEPESI, Zana Za Kilimo, (Zama Za Kale)
Hii sheria mpya inatakiwa ipindishwe ili lengo lao litimie.
 
Kwa hiyo nao waliompokea makongo ilihali wakijua alikuwa na skendo ya kukwiba Mme wa MTU walikosea hivyo ilitakiwa asipatiwe Huduma ya masomo?

Mpaka sasa sheria zetu za Wizara ya Elimu Utamaduni haziruhusu mwanafunzi wa Sekondari kuolewa na kuendelea masomo.

Kama Makongo walimpokea huku wakijua kwamba huyo mwanafunzi ameolewa na wakamuruhusu kuendelea na masomo, watakuwa walikuwa wamevunja sheria za nchi.
 
Kumbe huu ndio uzalendo wa "kiongozi mkuu" hataki kuowa anatafuna wake za watu.
 
Ngoma mbaya sana, imeua watu wengi wenye dream nzuri za maisha.
Msururu wa viongozi waliofuata kufa baada ya Amina ni mkubwa sana. Tuliwaona wengi wakienda kwa Babu Loliondo ili kupata tiba ya faster faster.
Nimeshangaa kuona mpaka mfalme Zitto naye anatajwa kuwa alikuwa anamlamba Amina Chifupa. Sasa sijui kama alikuwa anatafuna Live au recorded.

Kitakachofurahisha ni jinsi thread hii iliyojaa umbeya na maisha binafsi ya watu itakavyokimbia na kufika page nyingi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom