BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Pengine ntakuwa si mwingi wa rehema
kukaa kimya kwa hili lililomkuta kaka yangu rafiki yangu kipenzi p mafisango
pengine waweza jiuliza ilikuwaje nikaandika hili lakini nimewiwa kuandika hili
kama fundisho kwa wengine....
Mafisango p ni rafiki yangu mkubwa na kama mimi nimekuwa nikitoa mawazo pale ninapoweza kuyatoa na kumwachia mwenyewe mengine
kama tujuavyo kwa watanzania wanasema kila kifo ni mapenzi ya mungu lakini mi sikubaliani na hilo ninaposoma biblia maisha ya mwadamu ni miaka 70 ikiongezeka ni baraka za mungu sasa basi mwenye akili utajua hata kama ni ...nahisi baba au mama aliondoka chini ya 70 basi huyo ni shetani na msimsingizie mungu hata kidogo soma biblia inaeleza wazi...so kwa ujumla utaona kaka ameondoka chini ya 70 na hilo linakujulisha si mapenzi ya mungu!!!!!
Turudi kwenye wito kwa wachezaji
sipendi kuzungumzia sana maisha ya p mafisango ila napenda nieleze kaka ameondoka akiwa hoi bin taabani na pombe na hata waliokuwa muhimbili mmoja wapo ni ndugu yangu ambaye aluhuzunika sana sana...sikatai kunywa ila ni vyema mkiwa mko free jueni maisha ni akili na mpira ni nidhamu
sisemi vibaya kwa kaka yangu kama sijakosea hana miezi mitatu kocha alilalamika sana sana kuhusu unywaji wake pale alipoleta zogo na viongozi ingawa alikuwa na haki kulalamika lakini sio kwenda kulalama uongozini akiwa kalewa...ni kocha alisema na kutoa wazo jamani kama mnamruhusu mafisango basi akija mwingine kalewa naomba msinihusishe na hili muendelee kuwalea mtakavyo
sasa basi pengine alipotua alipewa vijisenti ila kama ana ndoa ama mke na kwenda kuishia club wakati mkewe amekaa nyumabni basi sio sawa hata kidogo ..naomba niliweke wazi hilo....kama mlivyosoma ndani ya gari kulikuwa na wanawake wawili na wanaume watatu na mmoja wa ndugu yake aliulizwa akasema ajui mwanamke aklieekuwa mbele ni nani wake tangu waclub
ndugu zanguni wachezaji mjilinde mjiepushe na tamaa za dunia tunawapenda tunawajali kwa kodi zetu tunazoleta hapoo kwenye harambee zenu msituhuzunishe ..natumaini wale wenye akili watabadili tabia na kumrudia mungu
nawatakia msiba mwema na safari njema hasa kwa kaka yangu boban anaeenda na msiba
bwana yesu awabariki na kuwapigania njia nzima mtakayopita adui wenu awe adui wa mungu
kukaa kimya kwa hili lililomkuta kaka yangu rafiki yangu kipenzi p mafisango
pengine waweza jiuliza ilikuwaje nikaandika hili lakini nimewiwa kuandika hili
kama fundisho kwa wengine....
Mafisango p ni rafiki yangu mkubwa na kama mimi nimekuwa nikitoa mawazo pale ninapoweza kuyatoa na kumwachia mwenyewe mengine
kama tujuavyo kwa watanzania wanasema kila kifo ni mapenzi ya mungu lakini mi sikubaliani na hilo ninaposoma biblia maisha ya mwadamu ni miaka 70 ikiongezeka ni baraka za mungu sasa basi mwenye akili utajua hata kama ni ...nahisi baba au mama aliondoka chini ya 70 basi huyo ni shetani na msimsingizie mungu hata kidogo soma biblia inaeleza wazi...so kwa ujumla utaona kaka ameondoka chini ya 70 na hilo linakujulisha si mapenzi ya mungu!!!!!
Turudi kwenye wito kwa wachezaji
sipendi kuzungumzia sana maisha ya p mafisango ila napenda nieleze kaka ameondoka akiwa hoi bin taabani na pombe na hata waliokuwa muhimbili mmoja wapo ni ndugu yangu ambaye aluhuzunika sana sana...sikatai kunywa ila ni vyema mkiwa mko free jueni maisha ni akili na mpira ni nidhamu
sisemi vibaya kwa kaka yangu kama sijakosea hana miezi mitatu kocha alilalamika sana sana kuhusu unywaji wake pale alipoleta zogo na viongozi ingawa alikuwa na haki kulalamika lakini sio kwenda kulalama uongozini akiwa kalewa...ni kocha alisema na kutoa wazo jamani kama mnamruhusu mafisango basi akija mwingine kalewa naomba msinihusishe na hili muendelee kuwalea mtakavyo
sasa basi pengine alipotua alipewa vijisenti ila kama ana ndoa ama mke na kwenda kuishia club wakati mkewe amekaa nyumabni basi sio sawa hata kidogo ..naomba niliweke wazi hilo....kama mlivyosoma ndani ya gari kulikuwa na wanawake wawili na wanaume watatu na mmoja wa ndugu yake aliulizwa akasema ajui mwanamke aklieekuwa mbele ni nani wake tangu waclub
ndugu zanguni wachezaji mjilinde mjiepushe na tamaa za dunia tunawapenda tunawajali kwa kodi zetu tunazoleta hapoo kwenye harambee zenu msituhuzunishe ..natumaini wale wenye akili watabadili tabia na kumrudia mungu
nawatakia msiba mwema na safari njema hasa kwa kaka yangu boban anaeenda na msiba
bwana yesu awabariki na kuwapigania njia nzima mtakayopita adui wenu awe adui wa mungu