Bei rahisi Electronicks
Senior Member
- Nov 24, 2025
- 123
- 310
Habari kaka ,mimi mzima wa afya ni miaka mingi hatujakutana uliondika mimi nikiwa mdogo sasa mimi nimekua mtu mzima week ijayo natarajia kuoa .
Nilisoma Kwa tabu sana lakini nilibahatika kumaliza chuo sasa ni Afsa mdogo mwenye nyota jeshini
Baba alishafiriki nikiwa standard four,Sijajua ulipo kaka yangu ila Mungu akulinde na familia yako na kama umefariki basi uwe na pumziko jema
Nilisoma Kwa tabu sana lakini nilibahatika kumaliza chuo sasa ni Afsa mdogo mwenye nyota jeshini
Baba alishafiriki nikiwa standard four,Sijajua ulipo kaka yangu ila Mungu akulinde na familia yako na kama umefariki basi uwe na pumziko jema