Ni Miaka sasa imepita!

Ni Miaka sasa imepita!

Bei rahisi Electronicks

Senior Member
Joined
Nov 24, 2025
Posts
123
Reaction score
310
Habari kaka ,mimi mzima wa afya ni miaka mingi hatujakutana uliondika mimi nikiwa mdogo sasa mimi nimekua mtu mzima week ijayo natarajia kuoa .

Nilisoma Kwa tabu sana lakini nilibahatika kumaliza chuo sasa ni Afsa mdogo mwenye nyota jeshini

Baba alishafiriki nikiwa standard four,Sijajua ulipo kaka yangu ila Mungu akulinde na familia yako na kama umefariki basi uwe na pumziko jema
 
Dogo
20260410_163457.jpg
huyo bro mbona hujamtaja jina kama yupo humu si unge link nae!
 
Back
Top Bottom