Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,217
- 6,349
Ujumbe huu hautawafikia ingawa ni mzuri. Heri ungeuandika kwenye magazeti ya udaku. Huko watausoma wote
Ungewatumia kwa njia ya SMS, humu sidhani kama wanasomaga.
Ujumbe huu hautawafikia ingawa ni mzuri. Heri ungeuandika kwenye magazeti ya udaku. Huko watausoma wote
Msg sent & delievered!
wanadamu tumeumbwa kusahau bila hivyo sura zetu zingekuwa kila siku ni za simanzi,au za kutoa machozi,na Mungu alituumba kwa maksudi kuwa wasahaulifu,la sivyo ningekuwa kila siku nalia kuwakumbuka wazazi,jamaa waliotangulia mbele ya haki na nyuso zetu zingekuwa na reception zilizochoka kwa kukumbuka yanayotakiwa kusahauliwa,watu wanasahau kama kuna megawatt wanajilipua sembuse maji ya Mchikichini au maji ya pale Veterinary machinjioniWabongo wengi wanatabia ya kusikiliza ushauri wakati wa tukio but baada ya muda husahau kila kitu thanks kwa kuwakumbusha mweye sikio asikie! RIP PATRIC MAFISANGO!
Mkuu miaka sabini ni kwa wanadamu kumbuka Yesu ni MUNGU si binadamu kama wewe na mimi na anaishi milele alishinda mauti utake usitake.
Mungu???yani mungu anapigwa bakora kama kibaka???