Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
- Thread starter
- #41
kakae hata me ningependa nikutafute ukiludi... Field inakwisha mwezi upi kaka?
nimeshaanza safari kaka so hadi jmos ntakuwa dar coz napitia iringa 2days
kakae hata me ningependa nikutafute ukiludi... Field inakwisha mwezi upi kaka?
kaka me pia natumia vegas tatizo ni video clip za digital camera ndogo hazi kubari lakini pia nikiziconvet mala zinapoteza sauti, mara zinacheza kama audio du! zimenishinda so nifanye nini ju ya hili?
nimeshaanza safari kaka so hadi jmos ntakuwa dar coz napitia iringa 2days
mbona sijaona ujuzi wowote uliotolewa au ndo huko mpaka kutafutana na PM's..!!? mi nilifikiri nia ni kupeana maujuzi hapa waziwazi kumbe ndo hivi..!?? lah...
mimi pia ninayo cs3 ila ni ya windows sasa nimejifunza kupitia tutorial na mpaka sasa nina idea nayo tofauti kabisa na nilivyopata mwanzo.jf imenipa mwangazaMkuu nina hamu sana na after effects, ninayo CS5 kwenye MacBook Pro lakini sijui kuitumia natamani nipate mtu anipe basics, tushirikiane jamani tuibuke kidedea kweny nga hizi. PM inafuata soon.
Jamani nimeacha swali langu hapo! Hamna mjuzi????
tutaftane mkuu.