kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
ni PM ninayoMe nahitaji adobe cs3 au cs5 ambaye anazo unaweza nicheki kwa namba 0714890018, au akinipatia contacts zake sio mbaya pia, nipo dar
ni PM ninayoMe nahitaji adobe cs3 au cs5 ambaye anazo unaweza nicheki kwa namba 0714890018, au akinipatia contacts zake sio mbaya pia, nipo dar
tutaftane mkuu.Mkuu nina hamu sana na after effects, ninayo CS5 kwenye MacBook Pro lakini sijui kuitumia natamani nipate mtu anipe basics, tushirikiane jamani tuibuke kidedea kweny nga hizi. PM inafuata soon.
tutaftane mkuu.
nimekugb,chek inbox yako piando nshaanza kukutafuta hivyo, cheki inbox yako
wanajamvi mmenigusa sana maana tangu nikiwa dogo natamani sana mautundu haya, hizo windows essential movie maker ndo ninazofanikiwa kuzipata tuu. zingine nimedownload lakin kuinstall nahitaji kam GB 1 hiv na net zetu ndo ivo ni zembe balaa kama kuna m2 anaweza nipa moja anitonye through 0714 141452 naweza kujifunza mwenyewe mpaka nikamaster. asanten:A S 465::A S 465:
Watu wengi katika hii tasnia ya Video editing ukweli hawafanyi EDITING bali wanachofanya ni kuweka effects na transitions na kidogo wanaweka na Titles lakini waeleze wafanye mfano substitute au Audio and video Mixing uone mziki.
Ushauri.
Ukiwa na uwezo wa kufanya video Mixing ,kuingiza Voice au Sauti kwa kutumia program yoyote basi jihesabu kuwa upo katika kiwango cha wewe kuitwa Mhariri wa video.Vinginevyo ni kujidanganya tu.
Mfano
Sisi tunatengeneza News,vipindi,documentaries kwa ajili ya TV tunatumia programs ambazo ni simple tu kwani sana sana hatu-dil na effects bali Mixing.Hivyo ili uwe mzuri katika hii kitu ni bora ujue unaitaji program Fulani kwa ajili kutoa Output ya nini.![]()
Je video nitakayo rekodi kutoka katika VHS kupitia TV CARD Kwenda kwenye Computer haiwezi kupoteza ubora?
ni PM ninayo
wanajamvi mmenigusa sana maana tangu nikiwa dogo natamani sana mautundu haya, hizo windows essential movie maker ndo ninazofanikiwa kuzipata tuu. zingine nimedownload lakin kuinstall nahitaji kam GB 1 hiv na net zetu ndo ivo ni zembe balaa kama kuna m2 anaweza nipa moja anitonye through 0714 141452 naweza kujifunza mwenyewe mpaka nikamaster. asanten:A S 465::A S 465:
Me nahitaji adobe cs3 au cs5 ambaye anazo unaweza nicheki kwa namba 0714890018, au akinipatia contacts zake sio mbaya pia, nipo dar
Ametoa namba ya tigo, wewe unasema akirudi Dar mtatafutana. Umejuaje kama yupo Dar, kwani tigo ni ya Dar pekee? Pengine yupo huko huko Songea!umepata.Mi nina adobe master collection,but npo field songea j5 ntarudi dar.2tatafutana mkuu.Unaweza kui2mia?? Ili unipe somo coz mi ninayo but ninajua kidogo xana adobe
Wanajamvi habari zenu!! Mimi nina idea na video editing kwa kiasi hasahasa katka software ya sony vegas pro. Najua pia kuna wataalamu wa adobe,final cut,ulead n.K so sio vibaya tukaulizana maswali mbalimbali kuhusu video editing. Kwangu mimi niulize chochote kuhusiana na SONY VEGAS,nitakujibu nami pia nina maswali kadhaa kuhusu plug-ins za software zingne.
unataka software gani??
Ametoa namba ya tigo, wewe unasema akirudi Dar mtatafutana. Umejuaje kama yupo Dar, kwani tigo ni ya Dar pekee? Pengine yupo huko huko Songea!
kaka me pia natumia vegas tatizo ni video clip za digital camera ndogo hazi kubari lakini pia nikiziconvet mala zinapoteza sauti, mara zinacheza kama audio du! zimenishinda so nifanye nini ju ya hili?
Ametoa namba ya tigo, wewe unasema akirudi Dar mtatafutana. Umejuaje kama yupo Dar, kwani tigo ni ya Dar pekee? Pengine yupo huko huko Songea!