Tujifunze softwares za music/audio production

Nakuunga mkono magnifico hii ndo iwe our special thread. Beats zitupiwe hapa na tukosoane ili tuendeleze vipaji vyetu wadau.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kwenye Google inaweza ikawa ngumu kwa sababu zinauzwa mimi nilizipata kwenye pyrate sites. Jaribu Torrentz.com au The Pyrate Bay.org . Utapata version yoyote unayoitaka ila uwe umeinstall Bitlord , Bittorrent au U Torrent

Kweli mkuu kwenye kickass torrent plugins zipo full tena bure..
 
Aje wadau nina mzigo wa soundcard zipo nne. Mzigo unafika tarehe 15 zinatoka Denmark. Ni M-audio Track pro njia mbili, bei ni laki 4. Soundcard ni used ila zipo katika hali nzurii. . Mzigo ukifika tu wasiliana zaidi.
 
Kuna vst nyingi ambazo zinatofautiana katika features zake ila zina kazi moja.
Vst's ambazo nimeona watu wengi hupenda kuzitumia katika kufanya final mastering ni Izotope Ozone n T racks na hii T racks unaweza kuitumia km standalone vst so unaweza kuanza mastering na Izotope thn ukamalizia na T racks

Mkuu virus wameitafuna T rack yangu. Unaweza kunipa direct link nidownload tena
 
Nimetengeneza hiyo hapo.
Mnaweza mkasikiliza hapo hiyo Demo.

Safi, ni style fulani hivi ya rap, crunk ila naona ingekuwa poa zaidi ungetoa hiyo vocal ya mtu then ibaki instrumental yenyewe, kick 808 ipo gudi gudi, hats zimekaa vile vile ngoja tuone wengine wataizungumziaje magnifico
 
Last edited by a moderator:
Safi, ni style fulani hivi ya rap, crunk ila naona ingekuwa poa zaidi ungetoa hiyo vocal ya mtu then ibaki instrumental yenyewe, kick 808 ipo gudi gudi, hats zimekaa vile vile ngoja tuone wengine wataizungumziaje magnifico

Haina noma kaka, nilikuwa na wazo la kuiondosha hapo kwenye verse!
 
Last edited by a moderator:
Eti wakuu, hivi ni duka gan hapa town linalouza midi keyboard na mixer kwa bei nafuu? Ukiachana na lile duka la Aggrey Kariakoo
 
Eti wakuu, hivi ni duka gani hapa town linalouza midi keyboard na mixer kwa bei nafuu? ukiachana na lile duka la Aggrey Kariakoo

Mimi nauzaga hivyo vitu ila kwasasa sina, nina soundcard tu ambazo zinaingia Dar wiki ijayo.
 
Nimesha install T racks ila nashindwa kutumia, inamaana audio file na import pale au nikaitumie kule kwenye FL?
 
Nimesha install T racks ila nashindwa kutumia, inamaana audio file na import pale au nikaitumie kule kwenye FL?

Kuna two(2) options hapo ya kwanza unaweza ukaitumia kwenye software nyingine mfano. FL studio unaiload kwenye mixer master kama plugins nyingine ila kama utaitumia hii kama mastering plugin yako basi hakikisha zile plugins nyingine za mastering ambazo zipo mulemule haujitumii ili kupata sound quality nzuri.

Ya pili ni unaitumia kama standalone software ambapo unachukua audio file lako then unaliadd humo ndani halafu utaendelea sasa kufanya vitu vyako mwisho wa siku utaexport tayari ikiwa mastered.
 
Kumbe! ngoja niitumie via FL nikishindwa kabisa nitacheck tutorials zake Youtube.
 
Wadau kwa anaye hitaji soundcard anichek ninazo nne nauza kila mmoja kwa 400,000, = ni used ila zipo katika hali nzuri. Nichek 0717352787
 
Back
Top Bottom