Tujifunze softwares za music/audio production

Nitaamini kwa ushahidi, kwa ninavyoelewa android haina huu uwezo.
Labda sijaelewa, kama nu kuhusu kumpigia mtu simu na kumsikilizisha nyimbo zilizopo katika hiyo simu bila kukata simu... Basi kwa simu ninayokwambia inawezekana.. ukiweza nipe No. Nikupigie niweke na wimbo niuplay bila kukata hiyo simu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi una faida sana, mimi napenda hiphop ngumu na ya tempo ya chini. Nimekuwa nikitengeneza beats kadhaa na nina mpango wa kuwa na home studio. Naomba wazoefu mnijuze ni vipi ninatakiwa nivizingatie katika kutengeneza beats za hiphop ngumu nyeusi.
 
Back
Top Bottom