Tujifunze: Rwanda wanajizatiti na Corona

Tujifunze: Rwanda wanajizatiti na Corona

DidYouKnow

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2019
Posts
1,229
Reaction score
1,952
Rwanda inajilinda dhidi ya Corona kwa kujaza jiji la Kigali na masinki yanayohamishika ya kuoshea mikono katika vituo vya mabasi, migahawa, mabenki na maduka.

Mpaka sasa Rwanda haina tukio la Corona, isipokuwa nchi ya jirani ya DRC

Katika kituo kikuu cha mabasi jijini Kigali, wasafiri lazima waoshe mikono kabla hawajapanda mabasi. Vifaa hivi havijanunuliwa na serikali bali na kampuni mbalimbali kama za uchukuzi.

Mabenki, Maduka, Migahawa na pia Vilabu vya pombe vyote vimewekwa masinki ya kuoshea mikono na wateja wana ari ya kuosha mikono.

Kunawa mikono hakutokuwa shida kwa Tanzania, maana nilishawahi kuona ndugu wa wagonjwa waliopo hospitali ya kanda Mbeya wakiwa kwenye mstari mrefu wakisubiri kunawa mikono bombani, baada ya kutoka kutembelea wagonjwa wodini.

Hapa ni serikali kutoa muongozo wa kampuni za magari, mabenki, maduka, maeneo ya ibada kuweka masinki ya kuoshea mikono.
 
Video iliyokuwa posted karibuni na The New Times of Rwanda.
 

Attachments

  • IMG_3988.MP4
    454.1 KB
Rwanda inajilinda dhidi ya Corona kwa kujaza jiji la Kigali na masinki yanayohamishika ya kuoshea mikono katika vituo vya mabasi, migahawa, mabenki na maduka.

Mpaka sasa Rwanda haina tukio la Corona, isipokuwa nchi ya jirani ya DRC

Katika kituo kikuu cha mabasi jijini Kigali, wasafiri lazima waoshe mikono kabla hawajapanda mabasi. Vifaa hivi havijanunuliwa na serikali bali na kampuni mbalimbali kama za uchukuzi.

Mabenki, Maduka, Migahawa na pia Vilabu vya pombe vyote vimewekwa masinki ya kuoshea mikono na wateja wana ari ya kuosha mikono.

Kunawa mikono hakutokuwa shida kwa Tanzania, maana nilishawahi kuona ndugu wa wagonjwa waliopo hospitali ya kanda Mbeya wakiwa kwenye mstari mrefu wakisubiri kunawa mikono bombani, baada ya kutoka kutembelea wagonjwa wodini.

Hapa ni serikali kutoa muongozo wa kampuni za magari, mabenki, maduka, maeneo ya ibada kuweka masinki ya kuoshea mikono.
Tupo bussy na Chadema.
Labda tuwaombe WHO waibadilishe jina Corona waiite Chadema.
Hapo serikali itaamka.

Kiufupi our gvt system ni utopolo mtupu
 
Mnaweza komaa kuosha mikono ila papaa corona ni airbone disease msisahau.
 
Back
Top Bottom