Graph
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 2,735
- 6,165
Marais wa hizi nchi mbili walileta fyoko fyoko mwisho wake ikawa hivi.
Hapa ni Brazil, mamilioni ya watu walimchoka ikabidi aondolewe
Hapa ni South Korea, na hii ni ya juzijuzi tu. Huyu naye aliondolewa.
Hawa marais wawili walichokifanya kinafanana sana na huyu wa hapa kwetu, huyu wa S.Korea alikua na bashite wake moja anampenda sana. Sasa hivi yupo mahakamani kujibu kesi.
Haya turudi Tanzania
Hapa ni Brazil, mamilioni ya watu walimchoka ikabidi aondolewe
Hapa ni South Korea, na hii ni ya juzijuzi tu. Huyu naye aliondolewa.
Hawa marais wawili walichokifanya kinafanana sana na huyu wa hapa kwetu, huyu wa S.Korea alikua na bashite wake moja anampenda sana. Sasa hivi yupo mahakamani kujibu kesi.
Haya turudi Tanzania