Tujadiliane mikataba ya Simba na migogoro ya kifedha

Tujadiliane mikataba ya Simba na migogoro ya kifedha

King Leon 1

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2019
Posts
353
Reaction score
522
Club ya Simba imeingia mikataba mingi tena minono ya mabillioni toka kampuni tofauti ambayo baadhi ya mikataba iko wazi na mingine sio wazi. Apo chini tuone mikataba na thamani zake.
BETWAY:- 20 billion kwa miaka 3
JAYRUTY:- 36 billion
MO foundation:- Sio wazi
MO energy:- Sio wazi
MO cola:-
Pilsner:- 2 billion
MO insurance:- Sio wazi
Air Tanzania:- Sio wazi
KNAUF:- 2 billion
Sandaland:- 3billion + sports items
AZAM:-

Izo ni kampuni ambazo club ya Simba imeingia mikataba nayo lakini tujadiliane kuhusu matumizi ambayo sio wazi na vile vile usajiri na gharama za uendeshaji wa timu ikijumuisha mishahara, usafiri, usajiri na hotels zote anatoa mfadhili wao Tajiri Mo Dewji. Lakini ivi karibuni tumeskia migogoro ndani ya klabu kuwa wachezaji hawalipwi posho mara tajiri hajatoa pesa na mambo mengi ambayo yananipa maswali mengi kuwa izo pesa mabillioni toka kwa izo kampuni zinatumika wapi? 🤦🏻‍♂️
TUJADILIANE KWA LENGO LA KUJENGA TASNIA YA MICHEZO.
IMG_6297.png
 
Club ya Simba imeingia mikataba mingi tena minono ya mabillioni toka kampuni tofauti ambayo baadhi ya mikataba iko wazi na mingine sio wazi. Apo chini tuone mikataba na thamani zake.
BETWAY:- 20 billion kwa miaka 3
JAYRUTY:- 56 billion
MO foundation:- Sio wazi
MO energy:- Sio wazi
MO cola:-
Pilsner:- 2 billion
MO insurance:- Sio wazi
Air Tanzania:- Sio wazi
KNAUF:- 2 billion
Sandaland:- 3billion + sports items
AZAM:-

Izo ni kampuni ambazo club ya Simba imeingia mikataba nayo lakini tujadiliane kuhusu matumizi ambayo sio wazi na vile vile usajiri na gharama za uendeshaji wa timu ikijumuisha mishahara, usafiri, usajiri na hotels zote anatoa mfadhili wao Tajiri Mo Dewji. Lakini ivi karibuni tumeskia migogoro ndani ya klabu kuwa wachezaji hawalipwi posho mara tajiri hajatoa pesa na mambo mengi ambayo yananipa maswali mengi kuwa izo pesa mabillioni toka kwa izo kampuni zinatumika wapi? 🤦🏻‍♂️
TUJADILIANE KWA LENGO LA KUJENGA TASNIA YA MICHEZO. View attachment 3422991
Uandishi wa Juma Ayo
 
Club ya Simba imeingia mikataba mingi tena minono ya mabillioni toka kampuni tofauti ambayo baadhi ya mikataba iko wazi na mingine sio wazi. Apo chini tuone mikataba na thamani zake.
BETWAY:- 20 billion kwa miaka 3
JAYRUTY:- 56 billion
MO foundation:- Sio wazi
MO energy:- Sio wazi
MO cola:-
Pilsner:- 2 billion
MO insurance:- Sio wazi
Air Tanzania:- Sio wazi
KNAUF:- 2 billion
Sandaland:- 3billion + sports items
AZAM:-

Izo ni kampuni ambazo club ya Simba imeingia mikataba nayo lakini tujadiliane kuhusu matumizi ambayo sio wazi na vile vile usajiri na gharama za uendeshaji wa timu ikijumuisha mishahara, usafiri, usajiri na hotels zote anatoa mfadhili wao Tajiri Mo Dewji. Lakini ivi karibuni tumeskia migogoro ndani ya klabu kuwa wachezaji hawalipwi posho mara tajiri hajatoa pesa na mambo mengi ambayo yananipa maswali mengi kuwa izo pesa mabillioni toka kwa izo kampuni zinatumika wapi? 🤦🏻‍♂️
TUJADILIANE KWA LENGO LA KUJENGA TASNIA YA MICHEZO. View attachment 3422991
Mapato ya Simba app na mauzo ya wachezaji.
 
Mikataba mingi ya Simba inaongezwa sifuri ndio maana katika uhalisia aitekelezeki, mfano wa karibuni ni uo mkataba wa Jai ruuty.
Mkataba ule ata ukiwa mbumbumbu wa kiwango cha mwisho kabisa unaona wazi hautekelezeki kwakua hauna iyo Return kwa mazingira ya apa Nchini.
 
Mikataba mingi ya Simba inaongezwa sifuri ndio maana katika uhalisia aitekelezeki, mfano wa karibuni ni uo mkataba wa Jai ruuty.
Mkataba ule ata ukiwa mbumbumbu wa kiwango cha mwisho kabisa unaona wazi hautekelezeki kwakua hauna iyo Return kwa mazingira ya apa Nchini.
Wanaongeza vipi sifuri wakati TRA lazima wakate kodi zao apo kwnye transaction inamaana kama wanaongeza sifuri basi inamaana taasisi zote zimekalia kimya tu
 
Hatuwezi jadili sana sababu hakuna taarifa za wazi, ila kikubwa tu, yule kanjibahi anafaidika, ndio maana yupo pale msimbazi, tofauti na hapo asingekuwepo pa
Wengi wanajua na baadhi hawajui kwaiyo tujadiliane kulingana na kile tunachojua plus mawazo yetu juu ya hoja iyo, Yanayoendelea pale Simba kwenye suala la mikataba na migogoro yao kifedha
 
Back
Top Bottom