Yaani watu mmeshindwa kuelewa mnakurupuka kutoa utopolo wenu.
Tatizo sio kununua V8 tatizo ni V8 ya Aina gani na pesa zilizotumika kulinunua zilipotokea.
Utopolo ndiyo nini mkubwa?
Mimi nimetoa maoni yangu tu kwa nia njema. Sasa wewe unaya brand maoni yangu kama "utopolo" kiukweli nashindwa kukuelewa...
Kwani nimekosea wapi? Unaweza kunirekeisha tu kwa kusema ujuavyo wewe..
Na ieleweke kuwa, siungi mkono viongozi kujinunulia magari ya anasa kwa kutumia kodi za wananchi huku wananchi haohao wakihitaji huduma muhimu na za msingi lakini wanakuwa hawapati kwa kisingizio cha ukosefu wa fedha huku shida basically ikiwa ni Ku set vipaumbele (priorities)...
Nisome vizuri unielewe. Toyota Land cruiser V8 na jamii yake yote ni magari ya gharama sana kwa nchi maskini kwa rasrimali fedha kama Tanzania...
Kwa hiyo msimamo wangu mimi uko palepale kwamba, viongozi wote ambao wako entitled kupewa uasafiri (gari), basi serikali iwe na sera moja inayofanana nchi nzima, kuwa, kiongozi wa level fulani let say DC, DED, RC, RPC nk gari inayomstahili ni aina fulani na fulani not otherwise...
Kwa njia hii, kilichofanyika Geita na ofcoz kinachofanyika ktk halmashauri karibu zote na katika idara na taasisi karibj zote za kiserikali, kingeweza kuepukika kirahisi kabisa...
Mpaka hapa bado huelewi tu?
Pls, futa neno lako "utopolo" badala yake tumia neno lenye staha ktk mjadala bila kuvunjia heshima wala kukwazana...