Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,147
- 159,068
Duuuh!!! sio kwa kufichwa huko mama.Uko sawa asilimia zote mama
Duuuh!!! sio kwa kufichwa huko mama.Uko sawa asilimia zote mama
Mchepuko ananizuia kuchat chat ila Mme hana shida ye ananiruhusu, nami namsikiliza mchepuko dear tehDuuuh!!! sio kwa kufichwa huko mama.
Mchepuko ananizuia kuchat chat ila Mme hana shida ye ananiruhusu, nami namsikiliza mchepuko dear teh
Kweli hao wabeba vibe 10 sijui wana moyo wa chumaNatafuta mhenga wa ndoto zangu
Kuna babu kastaafu kama miaka 3/4 hivi mkewe ndiyo ana 40 mziki wake sasa baba na sukari juu piga picha angekuwa na Mzee mwenzie ambaye kwa wakati huu angekuwa na 55----60 asingepata shida sasa mdada kazi yake kuchepuka tu kayataka mwenyeweNa Wanaume watu WAZIMA mnaopenda kuowa vitoto ingali nyie mlishatmia nguvu zenu vya kutosha hukuujanani hayo ndo huwa matokeo yake!!!!!!
Kwa hiyo kumbe vijana wanaruhusiwa kuwala .!? Lakini kimya kimya !?Ukila kimya kimya hao wake za watu utaumwa?
AiseGoli 1 halafu dakiki 2 unategemea nini hapo , na hapo inapita wiki mme mkali wacha wasaidiwe wenyewe si wameshindwa kazi, wajua kujaza mivyakula ndani basi utasikia unakosa nini humu ndani, wakati mke kaacha vyakula kwao kamfuata mme acha atolewe ugwadu hakuna namna
Sent using Jamii Forums mobile app
🙄🙄🙄🙄🙄
Umeongea logic. Hili suala lishakuwa tatizo kubwa sana kwenye jamii zetu za kiafrika....nadhani inachangiwa na hali halisi ya kiuchumi, ila kuna haja ya wanaume kuliangalia kiundani suala hili, maana tunapoelekea sipo pazuri kabisa.Wanaume mliooa hamtekelezi majukumu yenu ipasavyo,nyie mnaona mkitoa hela za matumizi na bills zote ndo uanaume huo..mnajisahau kwenye kubembeleza na kufanya majukumu ya ndoa ipasavyo...hamuwasifii wake zenu,hamuwatoi out,hamuwapi haki ya ndoa ipasavyo so akikutana na mtu anayefanya haya ni kugusa tu kama kuwasha gari zero kilometer
Mhhhhh we mbona km mwandiko wako naujua...lolBinadamu haridhiki no matter what, do your part, fulfill your family's dreams and the rest leave it to her.
Mwanamke wa kuliwa ataliwa tu...
Mmmh, muandiko wangu umeujua vipi? Means unadhani unanifahamu? Maybe...na sijakata tamaa, hakuna mahali panaonyesha nimekata tamaa hapo.Mhhhhh we mbona km mwandiko wako naujua...lol
And why umekata tamaa sana?
Reading you btn the lines..Mmmh, muandiko wangu umeujua vipi? Means unadhani unanifahamu? Maybe...na sijakata tamaa, hakuna mahali panaonyesha nimekata tamaa hapo.
Yote yanawezekanaLakini na mama yako ni mke wa mtu! Ukitukana angalia kulia na kushoto!
Hakika mkuu, siku zote Kunguru hafugiki.
Kama mwanaume kosea yote lakini ukikosea mwanamke wa kuoa ukaoa kahaba kichwa maji jua umeamua kukipatia mateso kizazi chako (watoto watapata tabu sana nakuambia)