Jitu jeusi JF-Expert Member Oct 18, 2015 1,704 2,363 Feb 25, 2019 #1 Hivi kuna umuhimu gani wazee kupewa kitambulisho ilhali wenyewe tu wanajitambulisha automatic.... maana hakuna kijana anayeweza kufoji kuwa yeye ni mzee
Hivi kuna umuhimu gani wazee kupewa kitambulisho ilhali wenyewe tu wanajitambulisha automatic.... maana hakuna kijana anayeweza kufoji kuwa yeye ni mzee
S Statistics JF-Expert Member Sep 22, 2013 3,184 6,549 Feb 25, 2019 #2 Huwa nashangaa sana! kitambulisho cha udereva, kura au kitaifa kilitosha kumtambua mwenye miaka 60+