Tumpara Dudu
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 660
- 599
Salaam kwenu Wana great thinker.
Naomba niwashirikishe kwenye mijadala huu KIJASUSI zaidi kwasababu jamii forum ni hom of great thinkers,hatuchukulii jambo juu juu.
Wakuu,Jana,sote tunatambua alijitokeza mtu aliyejitambulisha kama afisa wa JW mwenye cheo Cha captain kwa jina anaitwa TESHA. Captain huyu aliongea mambo mazito mno kuhusu Mwenendo mbaya wa Taifa letu na akaenda mbali zaid kutaka jeshi letu pendwa lichukue udhibiti wa nchi kunusuru hali hyo mbaya ya Taifa letu inayoweza kusababisha madhara makubwa kama itaachwa bila ya kuchukuliwa hatua na jeshi.
Mambo yaliyonistua kiasi Cha kutaka TULIJADILI KIJASUSI.
1/ Jeshi letu halijakanusha chochote katika hotuba ya captain TESHA. Halijasema kama TESHA ni askari wao au alikuwa ni wao lkn kafukuzwa au kasimamishwa au vip
2/ Mpaka Sasa hatujui TESHA amechukuliwa hatua Gani na bado jeshi lipo kimya
3)Kuna tetesi zimezagaa kuwa Kuna maafisa wengi Wana msimamo kama wa TESHA baadhi Yao picha mjongeo zinasambazwa kwenye mitandao zikiwaonesha wakiwa na bunduki bila ya kuonesha sura zao wakieleza misimamo Yao waziwazi.
Sasa tujadili KIJASUSI: Katika hali kama hii iliyopo nchini mwetu,utekaji na mauaji,hali ngumu ya maisha kweli inawezkana vip mtu mwenye kazi Tena anacheo kikubwa jeshini achezee ajira yake vile huku akijua kitendo kile ni kuweka rehani maisha yake kwakua ni uhaini wa wazi na adhabu yake ni kifo? Mwenzenu Imani inanituma kuwa huko jeshini hakuko sawa na Hadi Sasa unaona kimya husikii hatua zozote zilizochukuliwa dhidi ya TESHA kwakua Kuna nguzo kubwa na muhimu TESHA ameiegemea na ndo ambayo imempa ujasiri wa kuchezea ajira yake na uhai wake.
Tusaidiane kudadavua hili kwa jicho la KIJASUSI,wenzetu mnalionaje?
Naomba niwashirikishe kwenye mijadala huu KIJASUSI zaidi kwasababu jamii forum ni hom of great thinkers,hatuchukulii jambo juu juu.
Wakuu,Jana,sote tunatambua alijitokeza mtu aliyejitambulisha kama afisa wa JW mwenye cheo Cha captain kwa jina anaitwa TESHA. Captain huyu aliongea mambo mazito mno kuhusu Mwenendo mbaya wa Taifa letu na akaenda mbali zaid kutaka jeshi letu pendwa lichukue udhibiti wa nchi kunusuru hali hyo mbaya ya Taifa letu inayoweza kusababisha madhara makubwa kama itaachwa bila ya kuchukuliwa hatua na jeshi.
Mambo yaliyonistua kiasi Cha kutaka TULIJADILI KIJASUSI.
1/ Jeshi letu halijakanusha chochote katika hotuba ya captain TESHA. Halijasema kama TESHA ni askari wao au alikuwa ni wao lkn kafukuzwa au kasimamishwa au vip
2/ Mpaka Sasa hatujui TESHA amechukuliwa hatua Gani na bado jeshi lipo kimya
3)Kuna tetesi zimezagaa kuwa Kuna maafisa wengi Wana msimamo kama wa TESHA baadhi Yao picha mjongeo zinasambazwa kwenye mitandao zikiwaonesha wakiwa na bunduki bila ya kuonesha sura zao wakieleza misimamo Yao waziwazi.
Sasa tujadili KIJASUSI: Katika hali kama hii iliyopo nchini mwetu,utekaji na mauaji,hali ngumu ya maisha kweli inawezkana vip mtu mwenye kazi Tena anacheo kikubwa jeshini achezee ajira yake vile huku akijua kitendo kile ni kuweka rehani maisha yake kwakua ni uhaini wa wazi na adhabu yake ni kifo? Mwenzenu Imani inanituma kuwa huko jeshini hakuko sawa na Hadi Sasa unaona kimya husikii hatua zozote zilizochukuliwa dhidi ya TESHA kwakua Kuna nguzo kubwa na muhimu TESHA ameiegemea na ndo ambayo imempa ujasiri wa kuchezea ajira yake na uhai wake.
Tusaidiane kudadavua hili kwa jicho la KIJASUSI,wenzetu mnalionaje?