Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
Kuishi kwa machale
Kuongea kwa machale
Kupenda kwa machale
Urafiki wa machale
Ushirika (biashara) wa machale
Undugu wa machale
Kwenye masuala ya mali ndio kabisa, kila mtu anatoa ukweli nusu au hata pengine robo hii ni hatari sana kwa maoni yangu. Matokeo yake tunakuwa wapweke sana kwa kuwa tuna siri nyingi sana ambazo hatuzishei; licha ya upotevu wa mali unaotokea pindi mmiliki wa siri anapotangulia.
Labda swali la kujiuliza hapa, chanzo cha kuishi kimachale au kuangalia kila kitu kwa jicho la tatu if you may ni nini? Ni kujifunza kutoka kwa makosa ya wengine? je mazingira ya kutokea kwa hayo makosa ya wengine ni the same? Au waliokosea wanafanana na hawa wenzi wetu kwa kila kitu?
Wana jamvi kuna shida gani ukimuamini mtu?
Karibuni tujadili.
Kuongea kwa machale
Kupenda kwa machale
Urafiki wa machale
Ushirika (biashara) wa machale
Undugu wa machale
Kanisani machale
Misikitini machale
Kazini machale
Kwenye familia machale
Kwenye ndoa machale
Najua ni ngumu kumuamini kila mtu, lakini naona maisha ni magumu sana kwa kutomuamini mtu yoyote. Katika ndoa kila mtu anamtegea mwenzie, yaani hata kuufungua moyo wako kwa mpenzio unaogopa kwa kuhisi tu mwenzio atauexploit na kukuumiza. Where is the trust?Misikitini machale
Kazini machale
Kwenye familia machale
Kwenye ndoa machale
Kwenye masuala ya mali ndio kabisa, kila mtu anatoa ukweli nusu au hata pengine robo hii ni hatari sana kwa maoni yangu. Matokeo yake tunakuwa wapweke sana kwa kuwa tuna siri nyingi sana ambazo hatuzishei; licha ya upotevu wa mali unaotokea pindi mmiliki wa siri anapotangulia.
Labda swali la kujiuliza hapa, chanzo cha kuishi kimachale au kuangalia kila kitu kwa jicho la tatu if you may ni nini? Ni kujifunza kutoka kwa makosa ya wengine? je mazingira ya kutokea kwa hayo makosa ya wengine ni the same? Au waliokosea wanafanana na hawa wenzi wetu kwa kila kitu?
Wana jamvi kuna shida gani ukimuamini mtu?
Karibuni tujadili.