- Thread starter
- #21
Hilo la GLEMA mahabusu nalo mbona halijakaa sawa, na kwa nini GLEMA asishitaki kama anaona amekashifiwa?
hata mi nafikiri inabidi kumshtaki ili tuone kama kweli kichaa chake ni cha kuzaliwa au cha kujifanyisha
Hilo la GLEMA mahabusu nalo mbona halijakaa sawa, na kwa nini GLEMA asishitaki kama anaona amekashifiwa?
Mkuu hebu nipe link, nikasibitishe kama kweli yule mnayemuita kamanda G katamkwa hivyo.
Mkuu uko wapi? Pls hebu mtafutieni zile clip ... ziko kwenye thread fulani!!
Mkuu una maana mwenyekiti nani? JK
huyu mpumbavu aliyetoa huu utomb.o ni nani?
namfananisha na yule mgombea mmoja wa uchaguzi mdogo kule igunga!
Mkuu una maana mwenyekiti nani? JK
Magwanda mlileta hoja kutoboa sikio, Jee, haya majibu ni kweli au?
Magwanda walijidai wanajuwa kupakaza, kwi kwi kwi teh teh teh. Alichofanya huyo ni kujibu yaleyale mapigo, hajaleta jipya ambalo magwanda hawajalianzisha! Kudadaaaaaaaaaaaaaaadeeeeeki.
Magwanda mlileta hoja kutoboa sikio, Jee, haya majibu ni kweli au?
Magwanda walijidai wanajuwa kupakaza, kwi kwi kwi teh teh teh. Alichofanya huyo ni kujibu yaleyale mapigo, hajaleta jipya ambalo magwanda hawajalianzisha! Kudadaaaaaaaaaaaaaaadeeeeeki.
Lazima utakuwa na matatizo kichwani, au pengine tumbo linakupelekesha. Hakuna mtu wa kawaida anayeweza kushabikia matusi. Una mapungufu sana !!!!!!Magwanda mlileta hoja kutoboa sikio, Jee, haya majibu ni kweli au? Magwanda walijidai wanajuwa kupakaza, kwi kwi kwi teh teh teh. Alichofanya huyo ni kujibu yaleyale mapigo, hajaleta jipya ambalo magwanda hawajalianzisha! Kudadaaaaaaaaaaaaaaadeeeeeki.
Lazima utakuwa na matatizo kichwani, au pengine tumbo linakupelekesha. Hakuna mtu wa kawaida anayeweza kushabikia matusi. Una mapungufu sana !!!!!!
Mkuu hebu nipe link, nikasibitishe kama kweli yule mnayemuita kamanda G katamkwa hivyo.
Nilivyo maliza kuisoma tu hiyo post ya kwanza ya uzi huu, nilishawishika kubonyeza kitufe cha REPORT ABUSE nikiwa na lengo la kumshitaki mwanzisha uzi kwa kuandika maneno yasiyofaa JF jukwaa.....
Kutokana na hotuba hii ya Kibajaj.... kama hajachukuliwa hatua na chama, kwanza kwa kumvua vyeo vyote alivyonavyo ndani ya chama, na pili kumvua uanachama wa CCM ( ingawa wanaogopa kupote jimbo la mtera) basi sasa nitakuwa nimeshawishika kwa asilimia 62% kuwa Wale wazee walio sema CCM inaelekea shimoni walikuwa sahihi.
Hii hotuba naifananisha na ile ya Idd Amin alikuwa anaongea pumba pumba tupu akijisifia ujinga mwisho wa siku aliangukia pua!CCM oyeee Oyeeee!
Mh mwenyekiti wa chama, waheshimiwa viongozi wenzangu na wanachama wenzangu, nataka nianze kutofautiana hapahapa jukwaani na wenzangu, habari ya sisi kutukanwa halafu tunasema sisi hatutukani hatufanyi kazi ya kanisa hapa, kudadadeeeki matusi yakija nitatukana hoja zikija nitasema, potelea mbali
CCM oyeeeee.......oyeeee!
Niseme nisiseme.....semaaaaaa!
Unajua kuna wabunge wa chadema maji marefu unawalea sana, wewe ndio uliowachanja chale mpaka matakoni leo wanakutukana, nataka niwaambieni wenzetu wanajifanya wanajua kutukana hapa mwisho! ndio maana nimekuja kuwapasha kwamba hoja nyingine za kipuuzi wanazozisema chadema wanajitukana mpaka wao wenyewe, kuja kusema hapa kwamba mgombea wa ccm katoboa sikio kwa hiyo ni shoga maana yake na baba yake slaa nae ni shoga maana nae katoboa sikio kudadadeeeki CCM oyeeee....oyeeeee
Nataka niwaambie ndugu zangu msindanywe, msidanganywe na rangi utamu wa chai sukari, wale waliojazana katika chadema wote karibu nusu baba zao wametoboa masikio kwa hiyo na wao mashoga? Niwaambie nisiwaambie. . . .waambie! mbunge wa arusha mjini juzi alikua mahabusu na si tunajua kule mahabusu alifanywa nini, lakini hatutaki kusema
tuwalambe tusiwalambe.....walambeee!
Ndungu zangu nataka niwaambieni kwa habari ya lugha chafu wote sisi tunazo wala msifikiri hatujui sisi hatuna, tunajua Lema alikua mahabusu amepata bwana kule tunajua, na kuna wanaume wengine wameolewa sisi tunawafahamu, nataka kuwasihi sana, kwenye uchaguzi, kwenye uchaguzi tunajenga hoja za msingi lakini wakileta maneno ya honyo na hapa yapo, kudadadeeeki
nataka niwasihi sana, hakuna mtu asiye na makosa duniani, leo dr slaa anapita kuwasema wenzake wakati yeye upadri ulimshinda kanisa likamfukuza kwa kutia mimba wanakwaya
Sioi oyeeee! Oyeeee!
Mi nawafahamu wale, unajua tukiendelea kuwachekea hivi tukiendelea kuwambeleza hivi itafika mahali watatuchokoa machoni bora tule nao sahani moja, kuna bwe.ge mwingine yuko mle, kuna bweg.e mwingine yuko mle anajiita campain manager wa chadema, ukoo wa nyerere, baba yake mzazi wa nyerere akiitwa buhito alikua akitoboa masikio, alikua shoga? anajitukana mpaka mwenyewe kwa sababu ya akili mbovu, kutoboa masikio sio ushoga, masai wanatoboa, wagogo wanatoboa, wameru zamani walikua wanatoboa, wa-wakurya wanatoboa, wakamba wanatoboa, ye hajui historia anakuja hapa (huku kabana pua) ng'wee ng'wee ng'weeee, mbona ye ameliwa si hatusemi
ccm oyeee, oyeeeee
wanaokipenda chama mikono juuu!
(sauti ya kike kwa mbaali inasikika wamekwisha!)
subiri niwaambie, hoja zinazojengwa hapa ni hoja za kipumbavu, kuna watu wanakuja kujenga hoja ya kitoto, kwamba msimchague sioi kwa sababu alizaliwa kenya, sio raia wa tanzania, mtu akizaliwa kwenye ndege anakua raia wa nchi gani? Acheni ushamba nyie, Suala la mtu kuzaliwa na suala na uraia ni vitu viwili tofauti, uchungu unapompata mwanamke anazalia hapohapo hawezi kusubiri, kuna wengine wamezaliwa kwenye mabasi mbona hatuwaiti raia wa basi, washamba wakubwa nyie, hiyo mnaona ni hoja ya kupita mnazungumza, halafu nyingine wanapita wamebana pua, msimchague sioi kwa sababu baba yake alikua mbunge, baba yake atarudi lini? Baba yake anarudi?
Ngojeni niwaeleze, na bahati nzuri najua walipo ntakua napiga hapa afu napiga palepale, kudadadeeeki . . .
PART TWO COMING SOON!