Tuitizame hii hotuba - Part One

Tuitizame hii hotuba - Part One

Huyu apelekwe mahakamani,
Kuna makosa ya jinai hapo: Kutoa matusi hadharani,
Pia kuna udhalilishaji .....
Hii sio SIASA ni upumbavu kuwa na mtu kama huyu kwenye kundi lako.
 
Sitawahi hata mara moja katika Maisha yangu nikiwa timamu kusema hata 1% ya haya maneno kutoka mdomoni mwangu
 
Hutakiwi kutumia muda mwingi kujua kama huyu ni mtoto wa haramu, jamaa ana lugha chafu utadhani kazaliwa mtaroni! Na huyu ni mmoja wa watunga sera wa taifa ndani ya bunge! Ama kweli Tanzania nchi yangu.....
 
hIVI,MTU AKITOA MATUSI YA NGUONI,KUYAANDIKA KWENYE MTANDAO WETU TUKUFU WA jf NI RUKSA?Kwa mfano,nisikie mtu somewhere ametukana kum***e mna***mbwa ma****oni halafu nikaamua kuyamwaga hapajamvini inaruhusiwa?MODS naomba mwongozo wenu!!!!!
 
Huyu Jamaa inabidi afunguliwe kesi ya Defamation. Bahati mbaya kazi ninazozifanya sasa hivi zinanibana sana, laiti ingekuwa miezi saba iliyopita ningefile hii kesi kwa niaba ya Dr. Slaa, Mbowe, Lema, Nyerere Vs Lusinde & CCM (imehusika moja kwa moja..coz pale alikuwa akiongea kuiwakilisha CCM).. Slaa, Mbowe, Lema, Nyerere hii kesi mnashinda kabisa..vielelezo viko nje nje..!
 
Jaribu kufikiri baada ya Hotuba yake hiyo anakaribishwa mgeni rasmi say Mwalimu Julius Kambarage Nyerere-hali inakuwaje?
 
hIVI,MTU AKITOA MATUSI YA NGUONI,KUYAANDIKA KWENYE MTANDAO WETU TUKUFU WA jf NI RUKSA?Kwa mfano,nisikie mtu somewhere ametukana kum***e mna***mbwa ma****oni halafu nikaamua kuyamwaga hapajamvini inaruhusiwa?MODS naomba mwongozo wenu!!!!!

Mods...mwongozo wenu please!!!!
 
  1. Naomba hii clip apewe mwenyekiti wa chama aitizame mwanzo hadi mwisho, naamini yeye yuko na busara ya kutosha, atajua kitu cha kufanya
Mwenyekiti wa chama kipi, Magamba, wakati yy ndio alimtuma. Ameanza lini kuwa na busara
 
Hivi wana-JF huyu jamaa alimuangusha Mzee Malecela kwa mbinu gani? Ni ngumu kuamini kwa akili hii inayomsukuma mtu kutukana matusi ya namna hii mbele ya kadamnasi.
 
hIVI,MTU AKITOA MATUSI YA NGUONI,KUYAANDIKA KWENYE MTANDAO WETU TUKUFU WA jf NI RUKSA?Kwa mfano,nisikie mtu somewhere ametukana kum***e mna***mbwa ma****oni halafu nikaamua kuyamwaga hapajamvini inaruhusiwa?MODS naomba mwongozo wenu!!!!!

nikikusikia wewe unatukana sitatilia maanani, na kuja kupost hapa itakua ni makosa, nikisikia Mbunge anatoa mitusi, sasa hiyo news na sitakaa kimya nitayaeleza anayoyasema (bila kuchakachua) ili watu wajue kiongozi wao ni mtu wa aina gani
 
Mwenyekiti wa chama kipi, Magamba, wakati yy ndio alimtuma. Ameanza lini kuwa na busara

Mwenyekiti wa chama kipi>> chama cha mapinduzi

Ameanza lini kuwa na busara>> y
uko na busara sana yule mheshimiwa, chama tu ndio kinamuangusha
 
Mwenyekiti wa chama kipi, Magamba, wakati yy ndio alimtuma. Ameanza lini kuwa na busara

Mwenyekiti wa chama kipi>> chama cha mapinduzi

Ameanza lini kuwa na busara>> y
uko na busara sana yule mheshimiwa, chama tu ndio kinamuangusha
 
CCM oyeee Oyeeee!

Mh mwenyekiti wa chama, waheshimiwa viongozi wenzangu na wanachama wenzangu, nataka nianze kutofautiana hapahapa jukwaani na wenzangu, habari ya sisi kutukanwa halafu tunasema sisi hatutukani hatufanyi kazi ya kanisa hapa, kudadadeeeki matusi yakija nitatukana hoja zikija nitasema, potelea mbali

CCM oyeeeee.......oyeeee!

Niseme nisiseme.....semaaaaaa!

Unajua kuna wabunge wa chadema maji marefu unawalea sana, wewe ndio uliowachanja chale mpaka matakoni leo wanakutukana, nataka niwaambieni wenzetu wanajifanya wanajua kutukana hapa mwisho! ndio maana nimekuja kuwapasha kwamba hoja nyingine za kipuuzi wanazozisema chadema wanajitukana mpaka wao wenyewe, kuja kusema hapa kwamba mgombea wa ccm katoboa sikio kwa hiyo ni shoga maana yake na baba yake slaa nae ni shoga maana nae katoboa sikio kudadadeeeki CCM oyeeee....oyeeeee


Nataka niwaambie ndugu zangu msindanywe, msidanganywe na rangi utamu wa chai sukari, wale waliojazana katika chadema wote karibu nusu baba zao wametoboa masikio kwa hiyo na wao mashoga? Niwaambie nisiwaambie. . . .waambie! mbunge wa arusha mjini juzi alikua mahabusu na si tunajua kule mahabusu alifanywa nini, lakini hatutaki kusema

tuwalambe tusiwalambe.....walambeee!

Ndungu zangu nataka niwaambieni kwa habari ya lugha chafu wote sisi tunazo wala msifikiri hatujui sisi hatuna, tunajua Lema alikua mahabusu amepata bwana kule tunajua, na kuna wanaume wengine wameolewa sisi tunawafahamu, nataka kuwasihi sana, kwenye uchaguzi, kwenye uchaguzi tunajenga hoja za msingi lakini wakileta maneno ya honyo na hapa yapo, kudadadeeeki

nataka niwasihi sana, hakuna mtu asiye na makosa duniani, leo dr slaa anapita kuwasema wenzake wakati yeye upadri ulimshinda kanisa likamfukuza kwa kutia mimba wanakwaya

Sioi oyeeee! Oyeeee!

Mi nawafahamu wale, unajua tukiendelea kuwachekea hivi tukiendelea kuwambeleza hivi itafika mahali watatuchokoa machoni bora tule nao sahani moja, kuna bwe.ge mwingine yuko mle, kuna bweg.e mwingine yuko mle anajiita campain manager wa chadema, ukoo wa nyerere, baba yake mzazi wa nyerere akiitwa buhito alikua akitoboa masikio, alikua shoga? anajitukana mpaka mwenyewe kwa sababu ya akili mbovu, kutoboa masikio sio ushoga, masai wanatoboa, wagogo wanatoboa, wameru zamani walikua wanatoboa, wa-wakurya wanatoboa, wakamba wanatoboa, ye hajui historia anakuja hapa (huku kabana pua) ng'wee ng'wee ng'weeee, mbona ye ameliwa si hatusemi

ccm oyeee, oyeeeee
wanaokipenda chama mikono juuu!

(sauti ya kike kwa mbaali inasikika – wamekwisha!)

subiri niwaambie, hoja zinazojengwa hapa ni hoja za kipumbavu, kuna watu wanakuja kujenga hoja ya kitoto, kwamba msimchague sioi kwa sababu alizaliwa kenya, sio raia wa tanzania, mtu akizaliwa kwenye ndege anakua raia wa nchi gani? Acheni ushamba nyie, Suala la mtu kuzaliwa na suala na uraia ni vitu viwili tofauti, uchungu unapompata mwanamke anazalia hapohapo hawezi kusubiri, kuna wengine wamezaliwa kwenye mabasi mbona hatuwaiti raia wa basi, washamba wakubwa nyie, hiyo mnaona ni hoja ya kupita mnazungumza, halafu nyingine wanapita wamebana pua, msimchague sioi kwa sababu baba yake alikua mbunge, baba yake atarudi lini? Baba yake anarudi?

Ngojeni niwaeleze, na bahati nzuri najua walipo ntakua napiga hapa afu napiga palepale, kudadadeeeki . . .

PART TWO COMING SOON!

Muendelezo huu hapa

CCM oyeee .....oyeeeee!
Msikubali kudanganywa ndugu zangu maswala ya mtoto kufata kazi ya baba yake, katika tanzania ni kitu cha kawaida, tunao wanajeshi na watoto zao wanajeshi uongo kweli?....kweliiiiii! tunao madereva na watoto wao madereva uongo kweli?.....kweliiii, tunao wapiga debe na watoto zao wapiga debe uongo kweli . . . kweliiii! kuna ajabu gani kwa sioi piga makofi kwake.


Niwaulize nisiwaulize.....ulizaaaaaaa! Marehemu sumari angekua daktari na mtoto wake daktari CHADEMA wangegoma kunywa dawa (sauti ya kimbea kwa mbali inajibu . . . . wathubutu!), washamba nyie!


ccm oyee. . . oyeeee! Niwalambe nisiwalambe. . . . walambeee!


Ndio maana tunataka tuwaambie chama cha mapinduzi ndiyo chenye makamanda wa ukweli sio nyie makamanda feki, Jakaya Kikwete mwenyekiti wa ccm kazi yake zamani alikua mwanajeshi uongo kweli?..... kweliiii, kapteni komba alikua mwanajeshi uongo kweli? .......kweliiii! lakini wanavaa nguo za kijani halafu washamba ambao hata mgambo hawajapita wanavaa makombati.


ccm oyeee.....oyeeee!
Halafu katika washamba hakuna mshamba kama dokta slaa, anavaa kombati kuuubwa akitembea kama kajinyea vile (anapata shangwe kutoka kwa wanaomsikiliza, sorry to say this hapa hata mke wangu alicheka, nikamtazama kwa hasira hadi akaogopa!)


Nipige Nisipigeee?.........Pigaaaaaaaaaaaa
Bendera ya CCM ina rangi ganiiiiiiiiiiiiii?...................Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mahindi yanaota na rangi ganiiiiiiiiiiiii?............Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mpunga unaota na rangi ganiiiiiiiiiiiiii?.............Kijaniiiiiiiiiiiiiiii
Migomba yote ina rangi ganiiiiiiiiiii?...........................Kijaniiiiiiiii.
Piga makofi na vigelegele kwa chama cha mapinduzi.



Nataka niwaambie kama CHADEMA, kama viongozi wa CHADEMA ni vichaa wa kurogwa, mie ni kichaa wa kuzaliwa, kudadadeeeki! tarehe moja, dk slaa juzi, (anaguna) yaani katika watu washamba nimewashangaa dk slaa, anakakaa kwenye tv anasema eti ''ooooh hapa isipochaguliwa chadema patachimbika'' kama ni fujo itaanzia arumeru, kwa nini isingeanzia kwa mke wake? Ngoja niwaambie ndugu zangu, alichokua anakisema slaa, alichokua anatutishia vita slaa mimi namwambia anatishia kujamba wakati anaharisha.


ccm oyeee....oyeeee!. wangapi mtampa kura kura sioi, mikono juu....(watu wananyanyua mikono), hatufanyi kazi ya kanisa hapa! hapa tumekuja kuwaambia kwa suala la kutishana hakuna mtu anayeogopa, wote si tumeaga na nataka niwaambie slaa yule anavimba macho ya watu, lakini kama slaa ana ubavu nipeni mi tuweke ulingo hapa, ngumi moja naua yule, nikikusanya yule nipige mkono mmoja mnakuja kuokota yule, akiona watu wamejaa (anabana pua) ng'weng'weng'wee ng'weng'weng'wee upadri umemshinda ataweza serikali? thubutuu!

Nataka niwaambie, ndugu zangu wa arumeru, suala la uchaguzi mdogo sio suala la kudanganywa, wanakuja CDM hapa wanakudanganyeni, kwamba watapora mashamba ya wazungu wawagawieni, muasisi wa chama cha CDM ndugu mtei ana shamba hapa heka 700 mbona hawampori wawagawie? wangeanza kwanza la mtei, sio kuwadanganya wananchi, kama wanawapenda kweli wa meru wamwambie mzee mtei chukua shamba lako rudisha kwa watu wa meru(sauti ile ya kike. . . hatudanganyiki)

ccm oyeee.....oyeeee!
Niwachane nisiwachane?......wachaneee!

Vijana wenzangu, CDM inawapa pesa za kunywa viroba, mnalewa viroba na bangi mnazomea wazee wenu, halafu wenzenu wanapita na helikopta wanawaona machizi

niseme nisiseme.....semaaa!

Kokote duniani askari wanaoteka nchi ni askari wa miguu wacha wao waruke juu si tunateka nchi, wao wanaruka na helicopter si tunachukua jimbo asubuhi, kudadadeeki, mnakuja mnadanganywa hapa eti ooh chadema, sijui ooh nasari ataleta ajira na soko, ajira atazitoa wapi? Watu hawana shukrani anasimama hapa dk slaa anatukana ccm, hawajafanya kitu, hawajafanya kitu, shule alizosoma yeye zimejengwa na baba yake? shule zimejengwa na serikali ya chama cha mapinduzi, watu wanajiita wamesoma chuo kikuu (chuo hicho) kimejengwa na serikali ya chama cha mapinduzi, nionesheni hapa chuo walichojenga CDM. . . hakunaaa!

ccm oyeee....oyeeee!

Wanatuletea sera ya jogoo, nataka mkatae sera ya CDM ni sera ya jogoo, Jogoo katika makuku maongo hakuna kama jogoo, Jogoo linapokua linamtaka kuku mwenzake linadanganya linamwambia nitakushonea gauni reeefu mpaka huku (anainama huku akizunguka kuonyesha mfano wa jogoo, watu wanalipuka kwa kicheko)

Niseme nisiseme. . . .semaaaa!

Kataeni uongo wa jogoo, linaahidi kushona gauni refu wakati lenyewe likiinama hata chupi halina, waongo wakubwa tunawajua, na hivyo viroba mnavyokunywa vijana, viroba mnavyokunywa vijana mwisho tarehe moja, wataondoka watakuacheni mmetukana wazee wenu, mmewapiga mawe wazee wenu, na mimi nataka niwaambie vijana wa CDM utaonekana kichaa ukionekana unazomea rangi ya kijani maana utakuta mti una rangi gani....kijani! unaanza uhuuuu watu wanasema huyu chizi, mchezaji aliyeumia ni mchezaji wa timu ya ccm tunaweka mchezaji wa ccm, suruali yangu nyeusi imetoboka siwezi kuweka kiraka cheupe kama nina akili nzuri, inabidi niweke cha rangi gani? Kijaniii! Hata hilo mnataka mtu atoke dodoma kuja kuwaambia? Kama huoni kwa macho papasa kwa mkono utapa majibu.


Ccm oyeeeee.....oyeeeee!
Niwaambie nisiwaambie hawa.....waambie!...ngoja niwaambie watu wa CDM nyie


nikakutana na kijana mmoja akanichekesha sana, ananiambia mwanaume mzima, basi kati ya watu ambao hawajui kiswahili mbowe hajui kiswahili, mbowe anasimama anasema nina uchungu mkubwa, bibilia inasema hivi wanawake mtazaa kwa uchungu, wanaume watakula kwa jasho uongo kweli...kweliiii! kama mbowe anauchungu ana mimba?....vicheko


ccm oyeeee.....oyeeee!


Nataka niwaambie, kipindi hiki ni kipindi cha lala salama, ukiona mtu anasikia kichefufu, ukiona mtu anatema mate, ukimuona mtu anaichukia ccm ujue tayari tumeshamtia mimba, ndio maana unawaona saa hizi wanapiga kelele, unaona kina slaa wanapiga kilele, wameshapigwa mimba, mbowe pigwa mimba, nasari pigwa mimba....mayoweee

Tarehe moja wanaenda kujifungua mtoto anaitwa sioi, piga makofii. Kichefuchefu chote kitawaisha utawaona ooh tulikua pamoja tulikua pamoja kudadadeeki.


Niwachane nisiwachane?.....wachane!

we ukiona unapita mwanaccm humsemeshi mtu anakufanyia hivi (anaonesha V, ishara ya CDM) ujue ana mimba ya mapacha, mnunulie udongo, mnunulie maembe mabovu, mnunulie vitu vya uchachu tarehe moja anajifungua sioi anakwenda bungeni na wao mimba wanazaa hapohapo.

Tuwapime wenye mimba tusiwapime....tuwapimeeee
Tuwapime wenye mimba tusiwapime....tuwapimeeee

nitakuuliza swali, nitakuuliza swali, atakaempigia kura sioi anyoshe mkono kama hakunyosha jua ana mimba

ccm oyeeee....oyeeee!

Hotuba inaisha, zinaisha wanaonyeshwa watoto wengi wa shule za msingi, wamevaa uniform za shule nao walikua kati ya watu waliohudhuria huu mkutano ambao bwana Livingstone alihudhuria.


My take:

  1. Ukisoma hapa mwisho kuna udhalilishaji mkubwa kwa wanawake, inasikitisha sana!
  2. Kuna watoto wengi wa shule ya msingi ambao kwa kuwatizama tu, hawajafika hata miaka 15, sijui wanajifunza nini, Jamaa hakuzingatia hili kabisa wakati anatema u.pupu wake
  3. Jamaa amedhalilisha sana chama, kuna maeneo mengi ameongea vitu vyenye ukakasi na amejaribu kutuaminisha kwamba CCM (hata wale ninaowaheshimu sana) ndio wapo hivo
  4. Naomba hii clip apewe mwenyekiti wa chama aitizame mwanzo hadi mwisho, naamini yeye yuko na busara ya kutosha, atajua kitu cha kufanya
Pumbavu wewe umekidhalilisha mwenyewe chama Chako cha CHADEMA (CHADOMO) Mambo mengine mnajimaliza wenyeweeeeeee
 
Huyu Jamaa inabidi afunguliwe kesi ya Defamation. Bahati mbaya kazi ninazozifanya sasa hivi zinanibana sana, laiti ingekuwa miezi saba iliyopita ningefile hii kesi kwa niaba ya Dr. Slaa, Mbowe, Lema, Nyerere Vs Lusinde & CCM (imehusika moja kwa moja..coz pale alikuwa akiongea kuiwakilisha CCM).. Slaa, Mbowe, Lema, Nyerere hii kesi mnashinda kabisa..vielelezo viko nje nje..!

we utapata PM kutoka mimi, hii kitu lazima tuisukume, mi nimetumia muda mrefu sana kuichapa hii hotuba ili wengi zaidi waisome, nimekua namsikiliza na kuandika.

unapopata nafasi ni nzuri kujitoa kwa ajili ya wengine, utapata PM yangu mkuu tuone inakuwaje, huyu mtu tumshtaki
 
Ninamfahamu Livingstone Lusinde tangu mwaka 1996,nimekaa naye Kawe akiwa fundi viatu (shoe-shiner) pale Ukwamani Stand. Nakumbuka pia kuwa wapiga debe wa pale Ukwamani kwa kipindi chote walikuwa wanamwita BWABWA wakimaanisha shoga (asiyeamini aende pale akawahoji wale vijana). Maisha ya kijiweni ya kufutafuta viatu yalipomshinda akaenda kujiunga na Kwaya ya Uinjilisti Tumaini Usharika wa Kawe-KKKT. Baada ya kujiingiza kanisani pale ndo akaanza utapela mwingine wa kujifanya MC,na alifanikiwa kupata tutendatenda twa kusherehesha ubatizo,vipaimara na mara nyingine harusi. Nakumbuka tulivyohangaika kumchangia harusi yake,baada ya kushinikizwa kumwoa aliyekuwa house-girl wa Kapten Komba - ambaye ndo mke wa Lusinde mpaka leo. Nakumbuka hotuba yake kwenye harusi yake,hajuagi kuchagua maneno Lusinde jamani. Ni mjingamjinga fulani,hawezi kuchagua maneno huyo jamaa. Lakini ndo hivyo CCM yetu imemwamini na sasa keshaanza tuongea mambo ambayo ni aibu hata kwa chama chetu chenyewe. Tubadilike wana-CCM,tusiwashirikishe watu wa aina ya Lusinde kwenye majukwaa ya kisiasa. Ninawasilisha!!
 
CCM oyeee Oyeeee!

Mh mwenyekiti wa chama, waheshimiwa viongozi wenzangu na wanachama wenzangu, nataka nianze kutofautiana hapahapa jukwaani na wenzangu, habari ya sisi kutukanwa halafu tunasema sisi hatutukani hatufanyi kazi ya kanisa hapa, kudadadeeeki matusi yakija nitatukana hoja zikija nitasema, potelea mbali

CCM oyeeeee.......oyeeee!

Niseme nisiseme.....semaaaaaa!

Unajua kuna wabunge wa chadema maji marefu unawalea sana, wewe ndio uliowachanja chale mpaka matakoni leo wanakutukana, nataka niwaambieni wenzetu wanajifanya wanajua kutukana hapa mwisho! ndio maana nimekuja kuwapasha kwamba hoja nyingine za kipuuzi wanazozisema chadema wanajitukana mpaka wao wenyewe, kuja kusema hapa kwamba mgombea wa ccm katoboa sikio kwa hiyo ni shoga maana yake na baba yake slaa nae ni shoga maana nae katoboa sikio kudadadeeeki CCM oyeeee....oyeeeee


Nataka niwaambie ndugu zangu msindanywe, msidanganywe na rangi utamu wa chai sukari, wale waliojazana katika chadema wote karibu nusu baba zao wametoboa masikio kwa hiyo na wao mashoga? Niwaambie nisiwaambie. . . .waambie! mbunge wa arusha mjini juzi alikua mahabusu na si tunajua kule mahabusu alifanywa nini, lakini hatutaki kusema

tuwalambe tusiwalambe.....walambeee!

Ndungu zangu nataka niwaambieni kwa habari ya lugha chafu wote sisi tunazo wala msifikiri hatujui sisi hatuna, tunajua Lema alikua mahabusu amepata bwana kule tunajua, na kuna wanaume wengine wameolewa sisi tunawafahamu, nataka kuwasihi sana, kwenye uchaguzi, kwenye uchaguzi tunajenga hoja za msingi lakini wakileta maneno ya honyo na hapa yapo, kudadadeeeki

nataka niwasihi sana, hakuna mtu asiye na makosa duniani, leo dr slaa anapita kuwasema wenzake wakati yeye upadri ulimshinda kanisa likamfukuza kwa kutia mimba wanakwaya

Sioi oyeeee! Oyeeee!

Mi nawafahamu wale, unajua tukiendelea kuwachekea hivi tukiendelea kuwambeleza hivi itafika mahali watatuchokoa machoni bora tule nao sahani moja, kuna bwe.ge mwingine yuko mle, kuna bweg.e mwingine yuko mle anajiita campain manager wa chadema, ukoo wa nyerere, baba yake mzazi wa nyerere akiitwa buhito alikua akitoboa masikio, alikua shoga? anajitukana mpaka mwenyewe kwa sababu ya akili mbovu, kutoboa masikio sio ushoga, masai wanatoboa, wagogo wanatoboa, wameru zamani walikua wanatoboa, wa-wakurya wanatoboa, wakamba wanatoboa, ye hajui historia anakuja hapa (huku kabana pua) ng'wee ng'wee ng'weeee, mbona ye ameliwa si hatusemi

ccm oyeee, oyeeeee
wanaokipenda chama mikono juuu!

(sauti ya kike kwa mbaali inasikika – wamekwisha!)

subiri niwaambie, hoja zinazojengwa hapa ni hoja za kipumbavu, kuna watu wanakuja kujenga hoja ya kitoto, kwamba msimchague sioi kwa sababu alizaliwa kenya, sio raia wa tanzania, mtu akizaliwa kwenye ndege anakua raia wa nchi gani? Acheni ushamba nyie, Suala la mtu kuzaliwa na suala na uraia ni vitu viwili tofauti, uchungu unapompata mwanamke anazalia hapohapo hawezi kusubiri, kuna wengine wamezaliwa kwenye mabasi mbona hatuwaiti raia wa basi, washamba wakubwa nyie, hiyo mnaona ni hoja ya kupita mnazungumza, halafu nyingine wanapita wamebana pua, msimchague sioi kwa sababu baba yake alikua mbunge, baba yake atarudi lini? Baba yake anarudi?

Ngojeni niwaeleze, na bahati nzuri najua walipo ntakua napiga hapa afu napiga palepale, kudadadeeeki . . .

PART TWO COMING SOON!

Muendelezo huu hapa

CCM oyeee .....oyeeeee!
Msikubali kudanganywa ndugu zangu maswala ya mtoto kufata kazi ya baba yake, katika tanzania ni kitu cha kawaida, tunao wanajeshi na watoto zao wanajeshi uongo kweli?....kweliiiiii! tunao madereva na watoto wao madereva uongo kweli?.....kweliiii, tunao wapiga debe na watoto zao wapiga debe uongo kweli . . . kweliiii! kuna ajabu gani kwa sioi piga makofi kwake.


Niwaulize nisiwaulize.....ulizaaaaaaa! Marehemu sumari angekua daktari na mtoto wake daktari CHADEMA wangegoma kunywa dawa (sauti ya kimbea kwa mbali inajibu . . . . wathubutu!), washamba nyie!


ccm oyee. . . oyeeee! Niwalambe nisiwalambe. . . . walambeee!


Ndio maana tunataka tuwaambie chama cha mapinduzi ndiyo chenye makamanda wa ukweli sio nyie makamanda feki, Jakaya Kikwete mwenyekiti wa ccm kazi yake zamani alikua mwanajeshi uongo kweli?..... kweliiii, kapteni komba alikua mwanajeshi uongo kweli? .......kweliiii! lakini wanavaa nguo za kijani halafu washamba ambao hata mgambo hawajapita wanavaa makombati.


ccm oyeee.....oyeeee!
Halafu katika washamba hakuna mshamba kama dokta slaa, anavaa kombati kuuubwa akitembea kama kajinyea vile (anapata shangwe kutoka kwa wanaomsikiliza, sorry to say this hapa hata mke wangu alicheka, nikamtazama kwa hasira hadi akaogopa!)


Nipige Nisipigeee?.........Pigaaaaaaaaaaaa
Bendera ya CCM ina rangi ganiiiiiiiiiiiiii?...................Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mahindi yanaota na rangi ganiiiiiiiiiiiii?............Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mpunga unaota na rangi ganiiiiiiiiiiiiii?.............Kijaniiiiiiiiiiiiiiii
Migomba yote ina rangi ganiiiiiiiiiii?...........................Kijaniiiiiiiii.
Piga makofi na vigelegele kwa chama cha mapinduzi.



Nataka niwaambie kama CHADEMA, kama viongozi wa CHADEMA ni vichaa wa kurogwa, mie ni kichaa wa kuzaliwa, kudadadeeeki! tarehe moja, dk slaa juzi, (anaguna) yaani katika watu washamba nimewashangaa dk slaa, anakakaa kwenye tv anasema eti ''ooooh hapa isipochaguliwa chadema patachimbika'' kama ni fujo itaanzia arumeru, kwa nini isingeanzia kwa mke wake? Ngoja niwaambie ndugu zangu, alichokua anakisema slaa, alichokua anatutishia vita slaa mimi namwambia anatishia kujamba wakati anaharisha.


ccm oyeee....oyeeee!. wangapi mtampa kura kura sioi, mikono juu....(watu wananyanyua mikono), hatufanyi kazi ya kanisa hapa! hapa tumekuja kuwaambia kwa suala la kutishana hakuna mtu anayeogopa, wote si tumeaga na nataka niwaambie slaa yule anavimba macho ya watu, lakini kama slaa ana ubavu nipeni mi tuweke ulingo hapa, ngumi moja naua yule, nikikusanya yule nipige mkono mmoja mnakuja kuokota yule, akiona watu wamejaa (anabana pua) ng'weng'weng'wee ng'weng'weng'wee upadri umemshinda ataweza serikali? thubutuu!

Nataka niwaambie, ndugu zangu wa arumeru, suala la uchaguzi mdogo sio suala la kudanganywa, wanakuja CDM hapa wanakudanganyeni, kwamba watapora mashamba ya wazungu wawagawieni, muasisi wa chama cha CDM ndugu mtei ana shamba hapa heka 700 mbona hawampori wawagawie? wangeanza kwanza la mtei, sio kuwadanganya wananchi, kama wanawapenda kweli wa meru wamwambie mzee mtei chukua shamba lako rudisha kwa watu wa meru(sauti ile ya kike. . . hatudanganyiki)

ccm oyeee.....oyeeee!
Niwachane nisiwachane?......wachaneee!

Vijana wenzangu, CDM inawapa pesa za kunywa viroba, mnalewa viroba na bangi mnazomea wazee wenu, halafu wenzenu wanapita na helikopta wanawaona machizi

niseme nisiseme.....semaaa!

Kokote duniani askari wanaoteka nchi ni askari wa miguu wacha wao waruke juu si tunateka nchi, wao wanaruka na helicopter si tunachukua jimbo asubuhi, kudadadeeki, mnakuja mnadanganywa hapa eti ooh chadema, sijui ooh nasari ataleta ajira na soko, ajira atazitoa wapi? Watu hawana shukrani anasimama hapa dk slaa anatukana ccm, hawajafanya kitu, hawajafanya kitu, shule alizosoma yeye zimejengwa na baba yake? shule zimejengwa na serikali ya chama cha mapinduzi, watu wanajiita wamesoma chuo kikuu (chuo hicho) kimejengwa na serikali ya chama cha mapinduzi, nionesheni hapa chuo walichojenga CDM. . . hakunaaa!

ccm oyeee....oyeeee!

Wanatuletea sera ya jogoo, nataka mkatae sera ya CDM ni sera ya jogoo, Jogoo katika makuku maongo hakuna kama jogoo, Jogoo linapokua linamtaka kuku mwenzake linadanganya linamwambia nitakushonea gauni reeefu mpaka huku (anainama huku akizunguka kuonyesha mfano wa jogoo, watu wanalipuka kwa kicheko)

Niseme nisiseme. . . .semaaaa!

Kataeni uongo wa jogoo, linaahidi kushona gauni refu wakati lenyewe likiinama hata chupi halina, waongo wakubwa tunawajua, na hivyo viroba mnavyokunywa vijana, viroba mnavyokunywa vijana mwisho tarehe moja, wataondoka watakuacheni mmetukana wazee wenu, mmewapiga mawe wazee wenu, na mimi nataka niwaambie vijana wa CDM utaonekana kichaa ukionekana unazomea rangi ya kijani maana utakuta mti una rangi gani....kijani! unaanza uhuuuu watu wanasema huyu chizi, mchezaji aliyeumia ni mchezaji wa timu ya ccm tunaweka mchezaji wa ccm, suruali yangu nyeusi imetoboka siwezi kuweka kiraka cheupe kama nina akili nzuri, inabidi niweke cha rangi gani? Kijaniii! Hata hilo mnataka mtu atoke dodoma kuja kuwaambia? Kama huoni kwa macho papasa kwa mkono utapa majibu.


Ccm oyeeeee.....oyeeeee!
Niwaambie nisiwaambie hawa.....waambie!...ngoja niwaambie watu wa CDM nyie


nikakutana na kijana mmoja akanichekesha sana, ananiambia mwanaume mzima, basi kati ya watu ambao hawajui kiswahili mbowe hajui kiswahili, mbowe anasimama anasema nina uchungu mkubwa, bibilia inasema hivi wanawake mtazaa kwa uchungu, wanaume watakula kwa jasho uongo kweli...kweliiii! kama mbowe anauchungu ana mimba?....vicheko


ccm oyeeee.....oyeeee!


Nataka niwaambie, kipindi hiki ni kipindi cha lala salama, ukiona mtu anasikia kichefufu, ukiona mtu anatema mate, ukimuona mtu anaichukia ccm ujue tayari tumeshamtia mimba, ndio maana unawaona saa hizi wanapiga kelele, unaona kina slaa wanapiga kilele, wameshapigwa mimba, mbowe pigwa mimba, nasari pigwa mimba....mayoweee

Tarehe moja wanaenda kujifungua mtoto anaitwa sioi, piga makofii. Kichefuchefu chote kitawaisha utawaona ooh tulikua pamoja tulikua pamoja kudadadeeki.


Niwachane nisiwachane?.....wachane!

we ukiona unapita mwanaccm humsemeshi mtu anakufanyia hivi (anaonesha V, ishara ya CDM) ujue ana mimba ya mapacha, mnunulie udongo, mnunulie maembe mabovu, mnunulie vitu vya uchachu tarehe moja anajifungua sioi anakwenda bungeni na wao mimba wanazaa hapohapo.

Tuwapime wenye mimba tusiwapime....tuwapimeeee
Tuwapime wenye mimba tusiwapime....tuwapimeeee

nitakuuliza swali, nitakuuliza swali, atakaempigia kura sioi anyoshe mkono kama hakunyosha jua ana mimba

ccm oyeeee....oyeeee!

Hotuba inaisha, zinaisha wanaonyeshwa watoto wengi wa shule za msingi, wamevaa uniform za shule nao walikua kati ya watu waliohudhuria huu mkutano ambao bwana Livingstone alihudhuria.


My take:

  1. Ukisoma hapa mwisho kuna udhalilishaji mkubwa kwa wanawake, inasikitisha sana!
  2. Kuna watoto wengi wa shule ya msingi ambao kwa kuwatizama tu, hawajafika hata miaka 15, sijui wanajifunza nini, Jamaa hakuzingatia hili kabisa wakati anatema u.pupu wake
  3. Jamaa amedhalilisha sana chama, kuna maeneo mengi ameongea vitu vyenye ukakasi na amejaribu kutuaminisha kwamba CCM (hata wale ninaowaheshimu sana) ndio wapo hivo
  4. Naomba hii clip apewe mwenyekiti wa chama aitizame mwanzo hadi mwisho, naamini yeye yuko na busara ya kutosha, atajua kitu cha kufanya

This person must be abnormal upstairs!
 
Mkuu sana,kwa matusi aliyoporomosha huyo anaye itwa mhe. Sikubaliani na ruhusa ya kuanika kwenye mtandao huu ambao ni wa age zote{refer jf rule,zimeainisha sababu ya porn pics kutoruhsiwa ikiwemo sababu ya watoto kuwemo humu}Naamin huyo Lusinde ana akili mbovu,ya kuweza hata kurusha hzo picha hadharan!
Hilo likitokea,zitaruhusiwa hum,eti sababu aliye rusha ni public figure?
Mwongozo wako mkuu.
nikikusikia wewe unatukana sitatilia maanani, na kuja kupost hapa itakua ni makosa, nikisikia Mbunge anatoa mitusi, sasa hiyo news na sitakaa kimya nitayaeleza anayoyasema (bila kuchakachua) ili watu wajue kiongozi wao ni mtu wa aina gani
 
Back
Top Bottom