ndoroma ndoroma
Member
- Dec 8, 2017
- 19
- 2
Habari ya mchana ndugu zangu,, Mimi no mwanafunzi was form six nmemaliza018, napatikana Tegeta mivumoni,,Kwa wazazi wrote walio karibu na maeneo haya, ningpenda kuwajulisha kuwa naweza to a huduma ya kufudisha watoto wenu kuanzia darasa LA tano mpak form four,.asomo kma GEOGRAPHY,MATH,history(1&6),Economic(5&6),Biology(1&4), na huduma zangu in nafuu SNA...kwasababu napenda kufundisha nikitu nachofurahia kufnya.asanteni sana na kuwatakia mchana Mwema.Asanteni0738 836 394