Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,946
- 38,656
Wiki mbili sasa naota ndoto inayoshahibiana kama mara nne hivi.
Kuna mkubwa, mtu mzito. Inawezekana ni mstaafu sijui, au yupo madarakani sijui bali YEYE ajua
Hayuko salama, yupo kwenye mikono inayoshahibiana na neno salama. Hali yake kiafya sijui, usalama wake kama ni wa uhakika sijui. YEYE ajua
Nimeota ndoto kuwa analazwa kaburini. Sababu ya mkono wa mtu sijui, au kudra za Mungu sijui. YEYE ajua.
Wana JF, hii ndoto imenisumbua sana kwa sababu ni kama tupo na watu wengi tunahudhuria mazishi ya mtu. Yes mtu mume na si mwanamke.
Je, inawezekana kaburi ni gereza au ni kweli kuna umauti upo.
Inawezekana kuna jambo linakuja na linaoneshwa kwangu mimi nisiyejua kuongea sawasawa.
Shughuli nzima ni mtanzuko wa kisiasa kwa sababu kwenye msiba watu walikuwa wamevaa nguo za kisiasa.
Mshana Jr tusaidiane hapo
Kuna mkubwa, mtu mzito. Inawezekana ni mstaafu sijui, au yupo madarakani sijui bali YEYE ajua
Hayuko salama, yupo kwenye mikono inayoshahibiana na neno salama. Hali yake kiafya sijui, usalama wake kama ni wa uhakika sijui. YEYE ajua
Nimeota ndoto kuwa analazwa kaburini. Sababu ya mkono wa mtu sijui, au kudra za Mungu sijui. YEYE ajua.
Wana JF, hii ndoto imenisumbua sana kwa sababu ni kama tupo na watu wengi tunahudhuria mazishi ya mtu. Yes mtu mume na si mwanamke.
Je, inawezekana kaburi ni gereza au ni kweli kuna umauti upo.
Inawezekana kuna jambo linakuja na linaoneshwa kwangu mimi nisiyejua kuongea sawasawa.
Shughuli nzima ni mtanzuko wa kisiasa kwa sababu kwenye msiba watu walikuwa wamevaa nguo za kisiasa.
Mshana Jr tusaidiane hapo