siansakala
Member
- Aug 12, 2012
- 75
- 10
natafuta mtu wa kukaa nae gheto...mimi ni mvulana niliyechaguliwa kujiunga UDSM 2012/13 B.com in BANKING $ FINANCIAL SERVICES....nina uzoefu wa kukaa gheto tangu shule ya Msingi,,,o level na A level nimekaaa gheto....(NIMEZALIWA GHETO)yeyote MWANAUME,,,namtafuta ili tuweze kuchangia kodi ya nyumba maeneo karibu na chuo ili tuwe tunatembea kwenda chuoni tusipande gari ili kupunguza gharama...kodi-30000...maji-5000..umeme-10000 KWA MWEZI lile BOOM linatosha kabisa tukiwa wawili tu...VITANDA,,MEZA ,,,VITI...JIKO;;;VYOMBO ninavyo...SO full KUPIKA..vyakula vya kununua HAVINA VIRUTUBISHO....Mie naishi DAR so nina UZOEFU na hili JIJI....KARIBUNI SANA WAKUJA.,,
​
​